Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tupe sababu za kisayansi za kupitisha vitu dirishani wakati mlango upoNa ndo tatizo la kuwaza uchawi, hata ukimtuma mwanao unga wakati anaingiza ndani ukamwagika kidogo mlangoni ukalala bila kuona asubuhi ukiamka unapata hofu kuwa wachawi wamekuja na kumwaga unga unga.
Hebu tupe sababu za kisayansi za kupitisha vitu dirishani wakati mlango upo
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha
Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka
Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe
Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani
Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi
Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha
Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
Kama wao hawa amini ushirikina hawakua na haja ya kufanya hizo mamboSababu si lazima ziwe za kisayansi inawezekana ni sababu za kawaida au zikawa za kucheza na saikolojia tu.
Kama mimi nakuja kupigana na wewe na nina taarifa kuwa wewe unaamini katika ushirikina na safari hii umeuweka uchawi wako mlangoni moja ya mbinu nzuri ya kuua ujasiri wako ni kupitia dirishani huku wewe ukiona na nikipita tayari nimeshakupiga kisaikolojia.
Uchawi haufanyi kazi kwenye mpira. Ingekuwa unafanya kazi mazoezi ya nini? Usajili wa gharama wa nini? Si unatengeneza timu ya mateja ambao hawalipwi wanapewa wali nyama tu halafu unaloga.
Hakuna uchawi kwenye mpira acha ujingaNaona umesahau Yanga kutumia mipango isiyo rasmi kuingia kwa Che Nkapa. Na bado umesahau Yale aliyoyafanya Jesus Moloko na wapuuzi wenzake siku ya derby ya Kariakoo. Al Ahly wameshajua janja njanja yenu.
Wapi tupichapicha🤔Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha
Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka
Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe
Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani
Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi
Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha
Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
No1🏃Mizigo inacheza namba ngapi?
Asante
Wakizichezesha hizo gari tutakata rufaa.Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha
Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka
Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe
Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani
Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi
Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha
Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
Inawezekana ni Mind games ya kuwatoa mchezoni iwapo wana taarifa kuwa mpinzani anaamini katika uchawi na ameweka uchawi mlangoni.Kama wao hawa amini ushirikina hawakua na haja ya kufanya hizo mambo
Hakuna uchawi kwenye mpira acha ujinga
Kesho tunanchinja ntu mapeeena achubuhi🤣Utopolo walivoeneza propaganda za ahly kufanyiwa umafia hapa tz walifikiri itaishia kwa simba tuu
Na kesho vyura hawatoboi maaana wakitoboa mjini hatutakunywa majiHii MECHI kesho nitakuwa ktk moja ya BICHI tulivuuu KIGAMBONI..
Nitashangilia mpk Koo lipasuke.
Utopwolow kazi anayo.
Kitendo cha kufanya mind games za kushirikisha kinaonyesha una imani hizo, utatofautishaje mind game na reality?Inawezekana ni Mind games ya kuwatoa mchezoni iwapo wana taarifa kuwa mpinzani anaamini katika uchawi na ameweka uchawi mlangoni.
Kama wewe ni mkristo halafu Ukaenda kwa mwarabu kuomba ushirikiano wa biashara halafu siku ya kukutana ukavaa kanzu haikufanyi wewe kuwa unauamini uislamu.