Mbabe wenu wewe na nani?Na mbabe wetu USMA ameishia namba ngapi
Mbabe wetu ni Raja CasablancaNa mbabe wetu USMA ameishia namba ngapi
Sisi watopoloMbabe wenu wewe na nani?
ila watu mnapenda ugomvi, shauri yako ngoja wakate tamaa kama bosi wao 😂Hao wanaitwa madunduka FC wa Algeria...
Kwa Mkapa Yanga 1 Usm Alger 2, mechi ya Marudio Usm Alger 0 Yanga 1!!Sisi watopolo
Yaani kabisaaa..!!! Afu mzima wewe?Hao wanaitwa madunduka FC wa Algeria...
Si alichukua kombe au anayeshindwa kuchukua kombe ndiye anaitwa mshindiKwa Mkapa Yanga 1 Usm Alger 2, mechi ya Marudio Usm Alger 0 Yanga 1!!
Huo ubabe uko wapi hapo?
Ahhaaa! Kumbe....sasa ikawajeKwa Mkapa Yanga 1 Usm Alger 2, mechi ya Marudio Usm Alger 0 Yanga 1!!
Huo ubabe uko wapi hapo?
Hiyo ni mada nyingine sasa. Mhusika niliyemuuliza aliongelea kuhusu wababe wa Yanga. Na ndiyo nikampa hizo takwimu. Hakuongelea kuhusu kuchukua kombe, na kuwa mshindi.Si alichukua kombe au anayeshindwa kuchukua kombe ndiye anaitwa mshindi
Sasa hapo aggregate si 2-2!! Huo ubabe uko wapi!!Ahhaaa! Kumbe....sasa ikawaje
Miye mzima, nitafute nina salamu zako toka kwa mchuchu wako 😄😄😄😄😄Yaani kabisaaa..!!! Afu mzima wewe?
Naona mashujaa wakiifuta hii rekodiKlabu ya Algeria HB Chelghoum Laïd 🇩🇿 imeweka Rekodi mbili za dunia baada ya kumaliza msimu wakivuna alama 4 tu katika mechi 30.
Pia Wameweka rekodi ya kucheza mechi zote 30 za ligi bila kupata ushindi hata mmoja.
Takwimu za timu hiyo:
Mechi 30
Ushindi 00
Sare 04
Kupoteza 26
Pointi 04