CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna umehamaki sanaaa?? Kwemaaa??Mbabe wenu wewe na nani?
Mwenzako kakufunga bao 2 kwakooo, ndo maana alinyanyua kwapaaa.Kwa Mkapa Yanga 1 Usm Alger 2, mechi ya Marudio Usm Alger 0 Yanga 1!!
Huo ubabe uko wapi hapo?
We unamwaga kuku kwa mchele mwingi banaaa..!! M to BL from 24thMiye mzima, nitafute nina salamu zako toka kwa mchuchu wako 😄😄😄😄😄
Alikukojolea nyingi ghetton kwakoooo, kwan hujui au??Sasa hapo aggregate si 2-2!! Huo ubabe uko wapi!!
Alibebwa na aggregate tu. Ule ushindi haukuwa na raha hata kidogo kwa upande wao. Maana walifungwa nyumbani, tena mbele ya maelfu ya mashabiki wao.Mwenzako kakufunga bao 2 kwakooo, ndo maana alinyanyua kwapaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajifarijiii wee, huo moto mlipelekewa nyie hapo kwa mkapaaa, na kuchomwaa 2,Alibebwa na aggregate tu. Ule ushindi haukuwa na raha hata kidogo kwa upande wao. Maana walifungwa nyumbani, tena mbele ya maelfu ya mashabiki wao.
Na moto waliopelekewa siku ile, walitamani muda uishe mapema.
Medali hukuziona.Si alichukua kombe au anayeshindwa kuchukua kombe ndiye anaitwa mshindi
Kumbe ulikuwa ni mwaka wa viwete kuendelea kuvunjana viungo.
Aliyeweza kupiga hesabu vizuri ndioKwa Mkapa Yanga 1 Usm Alger 2, mechi ya Marudio Usm Alger 0 Yanga 1!!
Huo ubabe uko wapi hapo?