Timu ya As Vital club huko iliko inaomba isipangwe kundi Moja na mnyama mkali Simba

Timu ya As Vital club huko iliko inaomba isipangwe kundi Moja na mnyama mkali Simba

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kuna jamaa yangu yupo Congo DRC amenidokeza kuwa, mpaka Sasa maombi ya wakongoman wengi ni kuomba kutopangwa kundi Moja la klabu bingwa na Simba timu Yao ya As Vital.

Hii imetokana rekodi mbaya waliyonayo clabu hiyo dhidi ya Simba Sports club. Jamaa aliendelea kudokeza kuwa ingekuwa mserereko endapo timu ya Yanga ingefanikiwa kufuzu katika mashindano hayo Kisha wakapangwa nao kundi Moja.

As Vital ikinolewa na kocha Jean Ibenge misimu ya nyuma walichezea moto na ukawaunguza vibaya sana walipokutana na Simba Sports club katika mashindano ya clabu bingwa Afrika.


Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021.
Klabu bingwa Afrika:
Simba 4-1 As vital dimba la Benjamin Mkapa. 3/4/2021
 
Naona umeamua kutuletea story za Karume Kwa wanywa kahawa .

Bila kuitaja Yanga ,kalio hua haliachi kukuwasha eeh
 
Wewe ni mwanamke ambae upo period siwezi kujitia mikosi ya kujibizana na wewe
Mkuu matusi ya Nini jamaa, mwanamke kuwa period ni kosa vipi mama yako asingekuwa anaingia period angekuzaa? Acheni kuiga ujinga unafikiri maneno ya kumtusi mwanamke yatakuacha salama? Nakuapia utalipia kauli zako hizi siku Moja.
 
Simba hii ambayo any big match haishindi unaota wewe mdada
 
Kuna jamaa yangu yupo Congo DRC amenidokeza kuwa, mpaka Sasa maombi ya wakongoman wengi ni kuomba kutopangwa kundi Moja la klabu bingwa na Simba timu Yao ya As Vital.

Hii imetokana rekodi mbaya waliyonayo clabu hiyo dhidi ya Simba Sports club. Jamaa aliendelea kudokeza kuwa ingekuwa mserereko endapo timu ya Yanga ingefanikiwa kufuzu katika mashindano hayo Kisha wakapangwa nao kundi Moja.

As Vital ikinolewa na kocha Jean Ibenge misimu ya nyuma walichezea moto na ukawaunguza vibaya sana walipokutana na Simba Sports club katika mashindano ya clabu bingwa Afrika.


Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021.
Klabu bingwa Afrika:
Simba 4-1 As vital dimba la Benjamin Mkapa. 3/4/2021
Tuwekee na matokeo ya Simba ilivyopewa vichpo na As Vita.
 
Kuna jamaa yangu yupo Congo DRC amenidokeza kuwa, mpaka Sasa maombi ya wakongoman wengi ni kuomba kutopangwa kundi Moja la klabu bingwa na Simba timu Yao ya As Vital.

Hii imetokana rekodi mbaya waliyonayo clabu hiyo dhidi ya Simba Sports club. Jamaa aliendelea kudokeza kuwa ingekuwa mserereko endapo timu ya Yanga ingefanikiwa kufuzu katika mashindano hayo Kisha wakapangwa nao kundi Moja.

As Vital ikinolewa na kocha Jean Ibenge misimu ya nyuma walichezea moto na ukawaunguza vibaya sana walipokutana na Simba Sports club katika mashindano ya clabu bingwa Afrika.


Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021.
Klabu bingwa Afrika:
Simba 4-1 As vital dimba la Benjamin Mkapa. 3/4/2021
Bangi za ukubwani sio nzuri unaweza ukaokota makopo ukasingizia umerogwa
 
Mkuu matusi ya Nini jamaa, mwanamke kuwa period ni kosa vipi mama yako asingekuwa anaingia period angekuzaa? Acheni kuiga ujinga unafikiri maneno ya kumtusi mwanamke yatakuacha salama? Nakuapia utalipia kauli zako hizi siku Moja.
Nilipie kwako wewe mwanamke?
 
Back
Top Bottom