Si kosa, Ninacho zungumza mimi ni kuwa na kiu ya kushinda kila game. na si game ya Simba au Yanga tuKukamia ni kosa?
Mfano: Angalia mechi walizocheza Azamu vs Simba, Azamu walicheza vizuri sana,
.Azamu vs Namungo, Azamu alifungwa nyumbani. Angalia hizo mechi utaelewa nichozungumza Mkuu.