kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Sandaland ndio inayoivalisha timu ya taifa. Wachezaji wetu ni vijana wenye akili timamu wanajua ni Brands zipi duniani zinatengeneza jezi Bora (prestigeous) na zipi zinatengeneza jezi hafifu (inferior) sokoni. Inafahamika kuwa Nike, Puma, adidas, umbro, nk ni kampuni bora kwa vifaa na jezi. Sisi tumewavalisha vijana wetu "matambala" yasiyofahamika yametoka wapi. Vijana wetu wanajiona inferior kuanzia kwenye jezi na mavazi.
Timu yetu itaanza kufungwa kwenye jezi walizovaa kwanza kabla ya kufungwa uwanjani.
Sisi kufika Afcon sio jambo la kawaida, tulipaswa kutafuta jezi Bora ili vijana wetu wajione wako sawa na wenzao kiwanjani na zinazohifadhika kama kumbukumbu.
Kamati ya hamasa hamlioni hili? Hata mjukuu wangu usipomnunulia begi la shule la kampuni inayofahamika kwa ubora analikataa.
Timu yetu itaanza kufungwa kwenye jezi walizovaa kwanza kabla ya kufungwa uwanjani.
Sisi kufika Afcon sio jambo la kawaida, tulipaswa kutafuta jezi Bora ili vijana wetu wajione wako sawa na wenzao kiwanjani na zinazohifadhika kama kumbukumbu.
Kamati ya hamasa hamlioni hili? Hata mjukuu wangu usipomnunulia begi la shule la kampuni inayofahamika kwa ubora analikataa.