Timu ya hamasa AFCON mnasemaje kuhusu jezi ya taifa stars?

Timu ya hamasa AFCON mnasemaje kuhusu jezi ya taifa stars?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Sandaland ndio inayoivalisha timu ya taifa. Wachezaji wetu ni vijana wenye akili timamu wanajua ni Brands zipi duniani zinatengeneza jezi Bora (prestigeous) na zipi zinatengeneza jezi hafifu (inferior) sokoni. Inafahamika kuwa Nike, Puma, adidas, umbro, nk ni kampuni bora kwa vifaa na jezi. Sisi tumewavalisha vijana wetu "matambala" yasiyofahamika yametoka wapi. Vijana wetu wanajiona inferior kuanzia kwenye jezi na mavazi.

Timu yetu itaanza kufungwa kwenye jezi walizovaa kwanza kabla ya kufungwa uwanjani.

Sisi kufika Afcon sio jambo la kawaida, tulipaswa kutafuta jezi Bora ili vijana wetu wajione wako sawa na wenzao kiwanjani na zinazohifadhika kama kumbukumbu.

Kamati ya hamasa hamlioni hili? Hata mjukuu wangu usipomnunulia begi la shule la kampuni inayofahamika kwa ubora analikataa.
 
We jamaa akili huna tangu lini brandikacheza mpira.
Af kwa akili yako ukivaa sijui nike na adidas hujui kama unamfaidisha mzungu ambaye hana impact kwenye maisha yako. Bora hata sandarland akiuza jezi ananunua sukari analipa kodi anatoa ajira n.k.
 
Sandaland ndio inayoivalisha timu ya taifa. Wachezaji wetu ni vijana wenye akili timamu wanajua ni Brands zipi duniani zinatengeneza jezi Bora (prestigeous) na zipi zinatengeneza jezi hafifu (inferior) sokoni. Inafahamika kuwa Nike, Puma, adidas, umbro, nk ni kampuni bora kwa vifaa na jezi. Sisi tumewavalisha vijana wetu "matambala" yasiyofahamika yametoka wapi. Vijana wetu wanajiona inferior kuanzia kwenye jezi na mavazi.

Timu yetu itaanza kufungwa kwenye jezi walizovaa kwanza kabla ya kufungwa uwanjani.

Sisi kufika Afcon sio jambo la kawaida, tulipaswa kutafuta jezi Bora ili vijana wetu wajione wako sawa na wenzao kiwanjani na zinazohifadhika kama kumbukumbu.

Kamati ya hamasa hamlioni hili? Hata mjukuu wangu usipomnunulia begi la shule la kampuni inayofahamika kwa ubora analikataa.
Well said
 
We jamaa akili huna tangu lini brandikacheza mpira.
Af kwa akili yako ukivaa sijui nike na adidas hujui kama unamfaidisha mzungu ambaye hana impact kwenye maisha yako. Bora hata sandarland akiuza jezi ananunua sukari analipa kodi anatoa ajira n.k.
Mpira unachezwa akilini. Feeling inferior affects the skills and performance.
 
sisi uchumi wetu mdogo. tuna poor purchasing power. nike, adidas, puma huwa wanakuja wakiona uchumi mkubwa.

wanatazama je mna mashabiki wa kununua jezi kwa bei zao.
 
Sandaland ndio inayoivalisha timu ya taifa. Wachezaji wetu ni vijana wenye akili timamu wanajua ni Brands zipi duniani zinatengeneza jezi Bora (prestigeous) na zipi zinatengeneza jezi hafifu (inferior) sokoni. Inafahamika kuwa Nike, Puma, adidas, umbro, nk ni kampuni bora kwa vifaa na jezi. Sisi tumewavalisha vijana wetu "matambala" yasiyofahamika yametoka wapi. Vijana wetu wanajiona inferior kuanzia kwenye jezi na mavazi.

Timu yetu itaanza kufungwa kwenye jezi walizovaa kwanza kabla ya kufungwa uwanjani.

Sisi kufika Afcon sio jambo la kawaida, tulipaswa kutafuta jezi Bora ili vijana wetu wajione wako sawa na wenzao kiwanjani na zinazohifadhika kama kumbukumbu.

Kamati ya hamasa hamlioni hili? Hata mjukuu wangu usipomnunulia begi la shule la kampuni inayofahamika kwa ubora analikataa.
 
Napenda kuvaa jezi ya taifa ila zinapunguzwa kipimo mfano xxl ya taifa star haiwi kubwa kama xxl ya man u, tatizo sijui nn
 
sisi uchumi wetu mdogo. tuna poor purchasing power. nike, adidas, puma huwa wanakuja wakiona uchumi mkubwa.

wanatazama je mna mashabiki wa kununua jezi kwa bei zao.
Nilikuwa naangalia timu zilivyovaa wakati zinawasili Ivorycoast, timu yetu walivyovaa havieleweki, eti wamevaa trucks zisizoeleweka zimetoka wapi. Tumeshindwa kuivalisha timu yetu iliyofika Afcon kimiujiza baada ya miaka 30 kupita? Wachezaji wetu Wana exposure kubwa wanajua Jesi nzuri ikoje.
 
sisi uchumi wetu mdogo. tuna poor purchasing power. nike, adidas, puma huwa wanakuja wakiona uchumi mkubwa.

wanatazama je mna mashabiki wa kununua jezi kwa bei zao.
Haya makampuni yanaweza kutengeneza jezi zenye quality tofauti kulingana na solo like wapi na wavaaji ni akina nani. Wanaweza kutengeneza kits za wachezaji na kits za mashabiki zenye viwango tofauti.
 
We jamaa akili huna tangu lini brandikacheza mpira.
Af kwa akili yako ukivaa sijui nike na adidas hujui kama unamfaidisha mzungu ambaye hana impact kwenye maisha yako. Bora hata sandarland akiuza jezi ananunua sukari analipa kodi anatoa ajira n.k.
Kwani na huyo Sandaland mwenyewe naye si mchuuzi tu. Kama ameleta jezi ambazo hazina viwango, ukweli usemwe.
 
Unaanza kupigwa kwenye jezi yako kisha kwenye magoli.. mtu wa hovyohovyo kichwani hawezi kufahamu hiki ninachokisema hapa kwenye Uzi huu, lakini hata watoto wadogo wakikutana kwenye matembezi siku za sikuu wanajuwa kuwa mwenzao kapendeza kuliko wao, watu wazima pia wanajuwa kuwa mwenzao ana gari zuri kuliko lake, watoto shuleni wajua kuwa mwenzao ana uniform nzuri kuliko yake. Na vyote hivi vinaadhiri muonekano na utendaji wa aliyekuwa na kitu Bora na mwenye kitu hafifu kuliko wenzie kwenye kundi
 
Back
Top Bottom