Mributz
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 177
- 527
JKT TANZANIA WAPANDA LIGI KUU
Ni Rasmi Sasa Timu ya Maafande wa JKT Tanzania kutoka Mkoani Pwani imekuwa Timu ya kwanza Kutoka Ligi ya Championship Kupanda Ligi Kuu Msimu ujao 2023/2024 Baada ya Kuichapa Timu ya African Sports Magoli Mawili Kwa Bila kwenye Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga na Kufikisha Alama 62
FT: African Sports 0-2 JKT Tanzania
⚽⚽
Vita Imebakia Kwa Timu Mbili kati ya Pamba FC ya Mwanza na Kitayosce FC ya Tabora kumtafuta Mmoja Atakae ungana na JKT Tanzania Kupanda Ligi Kuu Moja kwa Moja
Ni Rasmi Sasa Timu ya Maafande wa JKT Tanzania kutoka Mkoani Pwani imekuwa Timu ya kwanza Kutoka Ligi ya Championship Kupanda Ligi Kuu Msimu ujao 2023/2024 Baada ya Kuichapa Timu ya African Sports Magoli Mawili Kwa Bila kwenye Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga na Kufikisha Alama 62
FT: African Sports 0-2 JKT Tanzania
⚽⚽
Vita Imebakia Kwa Timu Mbili kati ya Pamba FC ya Mwanza na Kitayosce FC ya Tabora kumtafuta Mmoja Atakae ungana na JKT Tanzania Kupanda Ligi Kuu Moja kwa Moja