Timu ya Mazembe yaruhusiwa kutumia wachezaji wake, kilio kinasubiriwa Jangwani

Timu ya Mazembe yaruhusiwa kutumia wachezaji wake, kilio kinasubiriwa Jangwani

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili.

Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka kama chudaa, kwa mana ya kua wachezaji wao muhimu hawatacheza sababu wamefungiwa na FIFA.

Sasa baada ya Taarifa hii tunaamini watakua wameshangilia tena na kurukaruka kama chudaa.
 
Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili.

Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka kama chudaa, kwa mana ya kua wachezaji wao muhimu hawatacheza sababu wamefungiwa na FIFA.

Sasa baada ya Taarifa hii tunaamini watakua wameshangilia tena na kurukaruka kama chudaa.
yanga haikujipanga kwa mashindano hayo
 
Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili.

Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka kama chudaa, kwa mana ya kua wachezaji wao muhimu hawatacheza sababu wamefungiwa na FIFA.

Sasa baada ya Taarifa hii tunaamini watakua wameshangilia tena na kurukaruka kama chudaa.
Hater
 
Mazembe akiwa kwenye ubora alipigwa nje ndani na Yanga hilo halistui
Uongo mwingine huu, Mazembe alipofungwa na Yanga alikuwa anajitafuta na kujijenga upya ndio maana aliangukia Shirikisho. Mwaka jana walirudi kwenye ubora wao ndio maana walifika Nusu Fainali Klabu Bingwa ingawa mwaka huu pia wameflop baada ya kukimbiwa na wachezaji wao muhimu
 
Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili.

Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka kama chudaa, kwa mana ya kua wachezaji wao muhimu hawatacheza sababu wamefungiwa na FIFA.

Sasa baada ya Taarifa hii tunaamini watakua wameshangilia tena na kurukaruka kama chudaa.
Mkuu tupe na chanzo cha taarifa sasa ili tukikutana na watu wa yanga tunawaeleza na ushahidi tunawaonyesha
 
Yanga inatia huruma
Nafarijika sana yanga ikipata taabu, Now wachambuzi uchwara sijui wanasemaje huko maredioni,maana wao yanga hata iboronge vipi usikii wakiikosoa, ila kivumbi kwa Simba sasa!!

Ivi Mo yeye awatembezei bahasha za kaki hawa wachambuzi uchwara au? Maana ukiwasikiliza wanavyoiponda Simba ni dhairi kbisa unaona jamaa wanalipwa GCM
 
Nafarijika sana yanga ikipata taabu, Now wachambuzi uchwara sijui wanasemaje huko maredioni,maana wao yanga hata iboronge vipi usikii wakiikosoa, ila kivumbi kwa Simba sasa!!

Ivi Mo yeye awatembezei bahasha za kaki hawa wachambuzi uchwara au? Maana ukiwasikiliza wanavyoiponda Simba ni dhairi kbisa unaona jamaa wanalipwa GCM
Wale wachambuzi ni bendela fuata upepo
 
Back
Top Bottom