pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
- Thread starter
- #41
Hatimaye wamefika machinjioni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SASA hivi ana point ngapi?. Hili kundi mmeingia mtumbwi WA Vibwengo🤣Lini mara ya mwisho ya al hilal kuvuka makundi
Utopolo ndio basi tena no way to surpass their opponent.Maskini Amphibia wanamaliza mwaka vibaya mno. Tuwaombee sana
Humu tuHatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili.
Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka kama chudaa, kwa mana ya kua wachezaji wao muhimu hawatacheza sababu wamefungiwa na FIFA.
Sasa baada ya Taarifa hii tunaamini watakua wameshangilia tena na kurukaruka kama chudaa.
Unaendeleaje na hali bwana utoMazembe akiwa kwenye ubora alipigwa nje ndani na Yanga hilo halistui
Kamdomo kamdomoYanga lazima achukue point 6 kwa mazembe.
Kwenye kundi la yanga atakaefuzu ni Yanga na Mc Alger
Mazembe na al hilal ni wasindikizaji tu
Ubora UPI, mbona unajitoa akili!Mazembe akiwa kwenye ubora alipigwa nje ndani na Yanga hilo halistui