Timu ya Mazembe yaruhusiwa kutumia wachezaji wake, kilio kinasubiriwa Jangwani

Timu ya Mazembe yaruhusiwa kutumia wachezaji wake, kilio kinasubiriwa Jangwani

Nafarijika sana yanga ikipata taabu, Now wachambuzi uchwara sijui wanasemaje huko maredioni,maana wao yanga hata iboronge vipi usikii wakiikosoa, ila kivumbi kwa Simba sasa!!

Ivi Mo yeye awatembezei bahasha za kaki hawa wachambuzi uchwara au? Maana ukiwasikiliza wanavyoiponda Simba ni dhairi kbisa unaona jamaa wanalipwa GCM
Wakiongozwa na watu wa clouds..kuna mmoja hua anaongea hadi MIMATE....
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
1. Ujinga 2.Maradhi 3.Umaskini 4.Simba na Yanga 5. Siasa 6.Manabii na mitume 7. Uchawa 8. Ufisadi 9. Watu wasiojulikana
 
Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili.

Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka kama chudaa, kwa mana ya kua wachezaji wao muhimu hawatacheza sababu wamefungiwa na FIFA.

Sasa baada ya Taarifa hii tunaamini watakua wameshangilia tena na kurukaruka kama chudaa.
Maskini Amphibia wanamaliza mwaka vibaya mno. Tuwaombee sana
 
Yanga lazima achukue point 6 kwa mazembe.

Kwenye kundi la yanga atakaefuzu ni Yanga na Mc Alger

Mazembe na al hilal ni wasindikizaji tu
 
Mashabiki ya Simba hayatumiagi akili! Sasa hivi yamesahau kama yako kwenye mashindano ya kombe la akina dada na tarehe nane yanaenda kukutana na moto wa dada Ashura kule uarabuni!
 
Mashabiki ya Simba hayatumiagi akili! Sasa hivi yamesahau kama yako kwenye mashindano ya kombe la akina dada na tarehe nane yanaenda kukutana na moto wa dada Ashura kule uarabuni!
Ni kawaida ya wabwia unga wavuta madawa ya kulevya na shisha na kujidunga masindano kawaida yao kutukana na kudharau na kukejeli wanawake hata mama zao kisa kuilinda yanga.
 
Mpira dk 90.
Hata kikosi kiwe kizuri vipi, kinaweza pia kufungwa. Ndio maana hata Yanga walifungwa na Tabora United. Hata Bayern na Man city huwa wanapigwa. Kwani TP wazembe ndio nini bwana?
 
Mazembee wachumbaa tu,Makolo mnatesekaaa. Dua ya Kifaranga kwa Kunguru.
 
Mazembe akiwa kwenye ubora alipigwa nje ndani na Yanga hilo halistui
kama mazembe alikuwa Bora tuambie msimu upi hakuwa Bora km kweli wewe ni mtu wa Mpira! FIFA watunge Sheria kali ikiwezekana sio kila mtu aongelee soka wengine hamieni kwa michezo mingine inayoruhusu uswahili kama kurusha mkuki, riadha, kurusha tufe, kuongelea hizo zote burudani
 
Mashabiki ya Simba hayatumiagi akili! Sasa hivi yamesahau kama yako kwenye mashindano ya kombe la akina dada na tarehe nane yanaenda kukutana na moto wa dada Ashura kule uarabuni!
Sasa kwani we ni nani ulifika hadi fainali haya mashindano ya Rede au Mmebadili Jinsia?
 
Yanga lazima achukue point 6 kwa mazembe.

Kwenye kundi la yanga atakaefuzu ni Yanga na Mc Alger

Mazembe na al hilal ni wasindikizaji tu
Al Hilal unamjua unamsikia? Yule wa kumzuia labda Mazembe na MC ALGER TU waliobaki hawammudu.
Na navyomfahamu Mazembe atachukua si chini ya point 4 kwa Yanga
 
Back
Top Bottom