Timu ya Taifa Ghana, mchezaji Okrah kacheza mechi gani?

Timu ya Taifa Ghana, mchezaji Okrah kacheza mechi gani?

Tanzania bana nchi yakijinga ina watu wajinga haina ata wachezaji zaidi ya 10 wanaocheza nje ya tanzania

Ghana ina wachezaji zaidi ya 700 wanacheza nje ya kwao
 
Kabla ya kujua alicheza au hajacheza unapaswa kujua aliitwa timu ya taifa au hakuitwa? Na kama aliitwa kwa nini yule panya rodi wenu aliyewachoma bisibisi hajawahi hata kufikiriwa kuitea?


# mwenye akili yanga ni kikwete na mzee manara tu!
 
Huku Mbagala rangi tatu kuna mtaa wa Ghana pia na timu yao huwa inafanya vzr kwenye mashindano ya chandimu na Mfamao Cup

Mtaa wa Ghana walishawahi kumuita kwenye kikosi chao na akacheza mechi zote za mashindano ya chandimu
 
Nasikia ni mchezaji wa timu ya taifa
Nimefuatilia mechi za kufuzu world cup sijamuona
Hata zile game mbili za play off ghana vs nigeria hakwepo kwenye line up
Je, ni wale wachezaji wanaoitwa timu ya taifa inapocheza CHAN?

Au Je ni wale ambao kambi inapoanza wanaitwa 40 kisha kwenye short list ya kikosi kinachosafiri kwenda mashindanoni anakuwa hayumo

Au wanamuita ita tu kijana Okrah azoee timu yao kama kipindi fulani Tanzania walikuwa wakiwachukua akina Kelvin John na kusafiri nao
Galasa hilo hamna kitu.Huyu Jamaa timu aliyotoka haijawahi kushiriki mashindano yoyote ya kimataifa na hata kubeba kombe la ligi kuu yao. Hapo Makolo wameingizwa choo Cha like kisichokuwa na maji wala Toilet pepa.Wameuziwa Mbuzi kwenye gunia.Niseme wazi tu kwa hatua ambayo Simba ilifikia siyo ya Kununua wachezaji hovyo hovyo ilitakiwa wanunua wachezaji waliothibitisha ubora wao kwenye ligi zao na mashindano ya kimataifa ili wawasaidie kusonga mbele zaidi. Makolo uamefanya usajili mbovu kama wa msimu uliopita 2021/2022.
 
Back
Top Bottom