Timu ya taifa ya Chad yajitoa michuano ya kufuzu kombe la mataifa ya Afrika (AFCON 2017)

Timu ya taifa ya Chad yajitoa michuano ya kufuzu kombe la mataifa ya Afrika (AFCON 2017)

Wameona hawauwezi mziki wa Mbwana Samantha wakaona waachane na game msimu huu na hata ujao kulikoni kupata aibu ya mvua ya mabao hapo kesho.
 
Ufafanuzi tafadhari hii maana yake nini,ina maana kule Gabon timu zitakazoshiliki ni pungufu ?? ( kwa mujibu wa wadau hapo juu wanasema eti sasa kundi letu litatoa timu 1 na si 2 ) ina maana zile nafasi 2 inazibwa vipi ili Gabon zisiende timu pungufu ???
Mkuu ilikua ziende team 2 Na best loser, kwa hiyo team 2 zimekatwa! Team zitagawanyika kwa mbili.
 
hii ndo tabu ya kuzileta timu za mchangani kwenye mashindano ya kimataifa..njaa tupu
 
nigeria vs misri wangegawana point au misri ingefungwa harafu sisi tungeshinda tungefikisha point 7
 

Attachments

  • mbili.png
    mbili.png
    6.1 KB · Views: 27
  • moja.png
    moja.png
    4.5 KB · Views: 28
Sheria za Caf bado zina mapungufu, hivi dunia ya Leo team ya Taifa inajitoa kwa kukosa pesa! Ilitakiwa kuwa Na fine kubwa $100,000 Ili team ifikilie Mara 2 kujitoa, Na kufungiwa kujihusisha Na soka miaka 5! .....mbona sisi tumepigwa Sana Na hatujawahi kujitoa, team za kisenge Kama hizi zingepewa miaka 10 ya kujiandaa!
 
Ahhh tumeumia sana. Unajua hii mechi watu tungepiga sana mahela. Kuja kwa Samatta tu ni dili tosha kujaza mafuriko pale shamba la bibi.
Mkuu naona WW umeumia zaidi hata ya mm.
 
Mechi zilizo baki ndo izo tungepambana hata kwa draw au kushinda tungepita tu
 

Attachments

  • qqqq.png
    qqqq.png
    4.2 KB · Views: 28
Duh!tulikuwa tunajua na kesho tunasafisha nyota!kweli ng'ombe wa masikini hazai kila siku twafungwa sie leo tumeshinda inakuwa hivi!
 
Back
Top Bottom