Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mi mwenyewe niliwaza hivyo hivyo. Jezi nyeupe imefanya alionekana vizuriInonga angevaa tu jezi nyekundu ingenoga zaidi.
Wazo zuri.
kwahyo beki zetu zijiandae kumkaba wissa😂😂😂Nimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.View attachment 2867344
Nawa uso kwa sabuni ya panga uangalie tena!!Ka mayele mbona sikaoni ,wamekatemaga au macho yangu hayaonagi vizuri kinee
Nimekaona bwana,mbona hakajavaa jezi ya yangaNawa uso kwa sabuni ya panga uangalie tena!!
ilibaki kidogo yanga wangeuza apoNimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.View attachment 2867344
Naiona jezi ya mnyama pale nyumaNimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.View attachment 2867344
Naiona jezi ya mnyama mbet pale nyumaNimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.View attachment 2867344
Sifa za kijingaNimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.View attachment 2867344
Good nini sasa? 😡😡😡😡Good
Hapo Azizi Kii ni yupi wengine hatuwajui wachezaji tunawasikia tuNimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.View attachment 2867344