Katika michuano inayoendelea sasa hivi ya CECAFA SENIOR WOMEN CHAMPIONSHIP, Kilimanjaro Queen's imekuwa na muunganiko mzuri. Ukiwa unaiangalia timu hii unaona ule muunganiko mzuri.
Pia unaona usahihi wa pasi ambapo mara nyingi timu zetu zimekuwa zinapata shida.
Kuanzia golini mpaka bench la ufundi unaona muunganiko huo.
Mpaka sasa wachezaji waliotia fora ni Donisia, Double Aisha,Amina na kule nyuma ni balaaa. Mwalimu na benchi zima la ufundi wanastahili pongezi.
Pia timu nzima imekuwa ni nzuri sana. Mungu awasaidie wabakishe kombe nyumbani.
Mungu ibariki The Kilimanjaro Queens. Mungu ibariki Tanzania
Pia unaona usahihi wa pasi ambapo mara nyingi timu zetu zimekuwa zinapata shida.
Kuanzia golini mpaka bench la ufundi unaona muunganiko huo.
Mpaka sasa wachezaji waliotia fora ni Donisia, Double Aisha,Amina na kule nyuma ni balaaa. Mwalimu na benchi zima la ufundi wanastahili pongezi.
Pia timu nzima imekuwa ni nzuri sana. Mungu awasaidie wabakishe kombe nyumbani.
Mungu ibariki The Kilimanjaro Queens. Mungu ibariki Tanzania