Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ukipata kibonde unapiga,na kumbuka ndiyo timu inatengenezwa,hao unaowataja waliwahi kuanzisha timu za wanawake,so usidharau saanaWanacheza na wasiojua,wangeshinda hizo goli kwa timu kama Cameroon, Nigeria, Zambia ,Senegal ningekubali.