Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Taasisi ya jumuia ya afrika mashariki baadae yakaja kuitwa chalange cup.Haya mashindano yalisimamiwa na taasis gani?
Unajua siku mapinduzi yanatokea Zanzibar huyo mzee alikua wapi? Hu muungano ulikuwepo hata kabla sahihi hazijawekwaPicha namba 3, mbona namuona Mzee Karume akiwasalimia hapo?
Enzi hizo za 1961 bado Zanzibar na Tanganyika zilikuwa nchi mbili tafauti.
Biti...Picha namba 3, mbona namuona Mzee Karume akiwasalimia hapo?
Enzi hizo za 1961 bado Zanzibar na Tanganyika zilikuwa nchi mbili tafauti.
Uzalendo, Labda hujaangalia vizuri.Hongera Mzee Mohamed kwa kuleta Uzi usioegemea upande wowote!
Hehe ....Uzalendo...
Labda hujaangalia vizuri.
Kobello,Hehe ....
Najua sana kama alikuwepo Tanganyika kwa kuogopa asikamatwe pindi lile jaribio kama halikufanikiwa. Yeye na Babu walikuwa Dar, Babu alikuwa akitafutwa na utawala mpya wa mwezi mmoja.Unajua siku mapinduzi yanatokea Zanzibar huyo mzee alikua wapi? Hu muungano ulikuwepo hata kabla sahihi hazijawekwa
Hiyo picha ni baada ya Jan 1964.Najua sana kama alikuwepo Tanganyika kwa kuogopa asikamatwe pindi lile jaribio kama halikufanikiwa. Yeye na Babu walikuwa Dar, Babu alikuwa akitafutwa na utawala mpya wa mwezi mmoja.
Yalikuwa yanalipiwa na kampuni ya kutengeza sabuni za Gossage; haikuwa na uhusiano kabisa na yale mashati ya gossage ya miaka hiyo.Haya mashindano yalisimamiwa na taasis gani???
Inawezekana 1966Hiyo picha ni baada ya Jan 1964.
So hu muungano ni kama wana ndoa ambao walikua wanafanya mambo yote ya ndoa kabla ya kurasimishwa either kanisani, msikitini au kwa mkuu wa wilaya, in other words ile ya tarehe 26-04-1964 ndio ndoa ili rasimishwa but ukweli tayari tulikua tumeungana siku nyingi sana.Najua sana kama alikuwepo Tanganyika kwa kuogopa asikamatwe pindi lile jaribio kama halikufanikiwa. Yeye na Babu walikuwa Dar, Babu alikuwa akitafutwa na utawala mpya wa mwezi mmoja.
Ahsante kwa kunijuzaYalikuwa yanalipiwa na kampuni ya kutengeza sabuni za Gossage; haikuwa na uhusiano kabisa na yale mashati ya gossage ya miaka hiyo.
View attachment 1819714