Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
TIMU YA TANGANYIKA GOSSAGE CUP 1961
Majina ya wachezaji wote na maelezo ya ziada kayatoa John Limo baada ya kumfikishia hii picha.
Tumshukuru kwa kutufanyia hisani hii:
Kutoka kushoto: Henrick Martin, Hemed Seif, John Lyimo, Washokera, Yusuf Mwamba, Yahaya Mbike, mbele ni Aziz Abdullah, nyuma Ayubu Mohamed, Mohamed Mzee, Juma Mrisho, Maulid Abedi, Mattias na Miraji Salum.
Zaidi ingia:https: //www.mohamedsaidsalum.com/kalamu-ya-mwandishi/timu-ya-tanganyika-gossage-cup-1961
Majina ya wachezaji wote na maelezo ya ziada kayatoa John Limo baada ya kumfikishia hii picha.
Tumshukuru kwa kutufanyia hisani hii:
Kutoka kushoto: Henrick Martin, Hemed Seif, John Lyimo, Washokera, Yusuf Mwamba, Yahaya Mbike, mbele ni Aziz Abdullah, nyuma Ayubu Mohamed, Mohamed Mzee, Juma Mrisho, Maulid Abedi, Mattias na Miraji Salum.
Zaidi ingia:https: //www.mohamedsaidsalum.com/kalamu-ya-mwandishi/timu-ya-tanganyika-gossage-cup-1961