Timu ya Ushauri kwa Diamond haiwajibiki vema

Timu ya Ushauri kwa Diamond haiwajibiki vema

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto imemfanya naye awe hivyo ktk jamii.

6B19092F-D095-4E08-A2C0-0742889DFE03.jpeg


Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.

Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.

Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.

2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.

Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia
 
Me sijaona alipokosea.... Ameongea Fact tu. Hata hao aliozaa nao asingekuwa na pesa unadhani angewapata wapi???
Na suala la Bibi yao Latiffa kunengua kama binti unalichukuliaje
 
[emoji384][emoji385][emoji384][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385]
 
Diamond huo mziki ,kuvalishwa macheni yote alianzishiwa na mama ake ..Yaani hata yule Queen darlin alikuwa anaambiwa mshike mkono mdogo wako aje kuwa msanii mkubwa
 
Diamond huo mziki kubalishwa macheni yote alianzishiwa na mama ake ..Yaani hata yule Queen darlin alikuwa anaambiwa mshike mkono mdogo wako aje kuwa msanii mkubwa
Justin Bee-bier
 
Kijana wangu Diamond ni dhahiri unampenda sana Mama yako, lakini hebu kaa naye akubali kuuvaa uhusika halisi wa Mama na Bibi.

Pia nikushauri utafute Mshauri msomi atakayekusaidia. HAWA KINA MWIJAKU NA BABA LEVO WABAKI TU NA JUKUMU LA KUKUSIFIA
 
Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto imemfanya naye awe hivyo ktk jamii.

View attachment 2517780

Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.

Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.

Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.

2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.

Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia
Hoja zako hazina mashiko ndugu.
 
Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto imemfanya naye awe hivyo ktk jamii.

View attachment 2517780

Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.

Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.

Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.

2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.

Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia
Hujamuona mama yake BurnaBoy, ukimtaka BurnaBoy negotiations unafanya na mama yake, mama yake kila sehemu yupo na nae na ndiye meneja wake na BurnaBoy nazani unamuona anavyo toboa kila siku.

Sasa hio swala la mademu kumpenda mtu kisa hali yake ya kiuchumi nalo la kulijadili, wakati kuna mifano lukuki ya hizo issues so mimi naona kafikisha ujumbe kwa gold diggers.

So sioni hapo ulicho mshauri.
 
Kwani amedanganya wapi?
Kwa sasa mapenzi bila shiling utayaona machungu sana.
 
Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto imemfanya naye awe hivyo ktk jamii.

View attachment 2517780

Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.

Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.

Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.

2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.

Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia
Yote uliyotaja ndiyo yamemweka hapo alipo ndio maana wanaofanya na kuzingatia ushauri wako hawapo alipo.
 
Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto imemfanya naye awe hivyo ktk jamii.

View attachment 2517780

Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.

Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.

Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.

2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.

Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia
Leo anatunanga tutafute hela? Kwa hiyo ameona sisi tumelala? Hii dhihaka hii.
 
Back
Top Bottom