Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto imemfanya naye awe hivyo ktk jamii.
Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.
Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.
Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.
2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.
Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia
Wapo waliojiita Dudubaya, Crazy GK, Masumbuko, Muhogo Mchungu nk.
Hata hivyo kutokana na thamani ya huyu dogo angejitahidi kutafuta mtu/ watu ambao wana uwezo wa kumshauri mambo mbalimbali. Ni mengi lakini leo nishauri mawili:
1. Kabla hajaongea jambo kwenye Media. Nitoe mfano wa tukio lla yeye kurusha clip akijinasibu kuwa angekuwa fukara asingependwa na wanawake hivyo wanaume watafute hela.
Japo jamii kubwa imesapoti ujumbe huo lakini ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa hata mama za watoto wake inawagusa kuwa hakuna aliyempenda kama yeye. Vilevile iwapo yupo msicha anayempenda kwa dhoti anaweza kuwa disappointed.
2. Suala la Mama yake Mzazi kuwa exposed sana kwenye harakati za miziki ya Diamond linaleta ukakasi kwasababu inaonekana muda mwingine mama anajisahau kuwa tayari ni Mama na Bibi pia.
Nadhani Diamond anapaswa kupata Mshauri Makini atakayemsaidia