mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Ukiwa na hela unakosa uhakika kabisa kwamba mtu kakufata wewe au pesa.
Kama mwanamume namuelewa mond sana,na alianzaga kuyasema haya toka hazijachanganya kipindi yuko na wema.
Kwa sasa hata wanawake wote wakisema wanampenda,haitazidi jinsi anavyopendwa na mama yake aliyempenda tokea akiwa si lolote si chochote kwa wengine,tena hata wanaye hakutakiwa awataje ila mama yake tu.
Kama mwanamume namuelewa mond sana,na alianzaga kuyasema haya toka hazijachanganya kipindi yuko na wema.
Kwa sasa hata wanawake wote wakisema wanampenda,haitazidi jinsi anavyopendwa na mama yake aliyempenda tokea akiwa si lolote si chochote kwa wengine,tena hata wanaye hakutakiwa awataje ila mama yake tu.