haijawahi kujulikana hapa, ila mimi ni shabiki wa kufa wa Newcastle United
Tangu tupo championship msimu nilikuwa na uhakika wa 100% kama tungepanda ligi ujio wa RB uliongeza chachu na hamasa kwetu.
Mike Ashley aliweka ubahili kando na kufanya usajili wa maana kwa kumchukua mtoto matata sana Lascelles na anafanya vizuri
kuondoka kwa Georginio Wijnaldum ilikuwa ni pigo sana kwetu ila kila kitu kipo sawa.
Natarajia mengi msimu ujao toka kwa Toon Army na nina imani tunaweza shiriki michuano ya ulaya
[HASHTAG]#ComeOnUToons[/HASHTAG]
[HASHTAG]#WeAreAllUnited[/HASHTAG]
[HASHTAG]#HereWeGoMagpies[/HASHTAG]
Aleksander Mitrovic
Ayoze Perez
Vurnon Anita
Chancel Mbemba
Daryl Jaanmat
Cheikh Tiote
Mapou Yanga-Mbiwa