KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Juzi Kengold kutoka Chunya Mbeya imepigwa goli sita kwa moja (6-1) na Yanga.
Leo hadi kipindi cha mapumziko, Prison Tanzania kutoka Mbeya imeshakandwa tatu bila (3-0) na Simba.
Hizi timu za Mbeya zimekuja ili zishuke Daraja.
Timu za Mbeya ambazo zikishawahi kushuka Daraja ni pamoja na Tukuyu Stars, Mecco, Tiger, Prisons, Mbeya City, Mbeya Kwanza na sasa hawa Kengold na Tanzania Prison hawatakiwi kabisa kwenye ligi kuu ya NBC
Leo hadi kipindi cha mapumziko, Prison Tanzania kutoka Mbeya imeshakandwa tatu bila (3-0) na Simba.
Hizi timu za Mbeya zimekuja ili zishuke Daraja.
Timu za Mbeya ambazo zikishawahi kushuka Daraja ni pamoja na Tukuyu Stars, Mecco, Tiger, Prisons, Mbeya City, Mbeya Kwanza na sasa hawa Kengold na Tanzania Prison hawatakiwi kabisa kwenye ligi kuu ya NBC