Timu za mkoani huwa zinakera sana ila basi tu!

Sasa mzee watu golini hawafiki unawapaje penalt??

Mpira hawakai nao ni butu butu tu, hizo fauls wanazipataje??

Ni kweli marefa wanazingua ila sio kwa asilimia kubwa kiasi kwamba waamue mechi zote 60 za simba + yanga.

Yanga kawapiga watu tano tano, tatu, nne hizo zote ni penalty na kubebwa na refa??

Uwezo wa timu za mikoni ni mdogo sana zikokutana na hizi timu mbili.
Jana game ilikua wazi kabisa yeyote anashinda ila mashujaa hata langoni kwa simba hawafiki, wanabutua tu na kukazana kuzuia.
 
Changamoto ni wachezaji wazawa level yao ya kujitambua ipo chini mno

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Njaa baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…