ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Zikiwa zimesalia siku mbili michuano ya mapinduzi cup uanze kutumia vumbi huko Zanzibar, timu za Uganda na Burundi zimejiondoa
Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro stars, Kenya na Burkina Faso
Haya mashindano hayana mvuto tena Bora yafutwe
Zawadi ya million 100 timu zinasusia
Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro stars, Kenya na Burkina Faso
Haya mashindano hayana mvuto tena Bora yafutwe
Zawadi ya million 100 timu zinasusia