Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Somalia wachukue hiyo nafasiZikiwa zimesalia siku mbili michuano ya mapinduzi cup uanze kutumia vumbi huko Zanzibar, timu za Uganda na Burundi zimejiondoa
Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro stars, Kenya na Burukina Faso
Haya mashindano hayana mvuto tena Bora yafutwe
Zawadi ya million 100 timu zinasusia