Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Somalia wachukue hiyo nafasiZikiwa zimesalia siku mbili michuano ya mapinduzi cup uanze kutumia vumbi huko Zanzibar, timu za Uganda na Burundi zimejiondoa
Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro stars, Kenya na Burukina Faso
Haya mashindano hayana mvuto tena Bora yafutwe
Zawadi ya million 100 timu zinasusia
Makachu fcHayo mapinduzi cup yangeshirikisha timu za Zanzibar tu ili wayaenzi hayo mapinduzi yao.
Tatizo siasa ndo imeleta shida. Kama simba na yanga wametingwa c wangezipa nafasi timu zingene kama azam, singida, coastal zishiriki hyo michuano...Zikiwa zimesalia siku mbili michuano ya mapinduzi cup uanze kutumia vumbi huko Zanzibar, timu za Uganda na Burundi zimejiondoa
Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro stars, Kenya na Burkina Faso
Haya mashindano hayana mvuto tena Bora yafutwe
Zawadi ya million 100 timu zinasusia
Wawe wabunifu, sio lazima soka tu, kama ni soka watengeneze kama ndondo cup wachezaji wa ligi kuu wasihusike, ingenoga tu, kuna watu wapo kwenye ndondo ni mafundi balaa.
Mkuu ban imeishaWakapige makachu tu huko zenji
Sikupingi mkuuccm hawajawahi kuwa na akili mkuu
Mkuu ban imeisha
Nilikua najua hizo gharama analipia muandaaji wa mashindano.Somalia sio wanyonge
Kusafirisha timu, kukaa hotelini, mazoezi, posho, n. K halafu zawadi ni million 100
Wangealika na timu ya taifa ya OmanHayo mapinduzi cup yangeshirikisha timu za Zanzibar tu ili wayaenzi hayo mapinduzi yao.