Timu za Tanzania tuna cha kujifunza kwenye upigaji wa penati

Kuna la kutafakari Simba ni mara mbili tunatoka kwa matuta.
 
wanakuja kukubishia
hatujui kupiga penati isitoshe hata wachezaji wetu wa kigeni nao walewale. sijui ndio yale ukikaa na mwehu unakua mwehu
 
mtumishi umetisha umecharaza ukweli
 
Umejibu kistaarabu ngoja nikupe mfano. Kati ya Mwaka 91 au 92 Kenya walifanya Uchaguzi kuna vyama viwili nilikuwa vinachuana Sana mpaka dakika ya mwisho wakati wanatangaza wakaipa ushindi Chama tawala. Damu ilimwagika Hadi wakaunda Serikali ya umoja WA Kitaifa Kiongozi mmoja WA upinzani aliwaambia wafuasi wake kuwa imekuwa rahisi kuporwa Kwa sababu ya TOFAUTI ndogo ya kura. Maana yangu Yanga ingewashindilia goli nyingi hata wangeiba wangejisumbua. kuhusu mstari Mie ni shabiki maandazi mambo ya Sheria nitasema uongo.
 
Kufungwa ni kufungwa Tu. Ingekuwa Yanga anaendelea na michuano tungemsifia Kwa kutofungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…