Timu za Uingereza zinakwama wapi?

Mk54

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
1,996
Reaction score
3,950
Binafsi sielewi shida ni nini, Liverpool imedominate mpira, matokeo yake kombe linarudi Madrid.

Hii ni changamoto kwa timu za England linapokuja suala la UEFA.

Real Madrid wameingia kwenye mchezo tactically, hawakuwa na haraka na walikuwa wanafanya mashambulizi ya akili.

Tukutane hapa tulioumia kwa UTOPOLO ambayo haina hata Experience ya kimataifa na viwango, yet wametupiga kimoja ; hapohapo Madrid ambayo haina kiwango cha maana wametupiga kimoja.

Je, tunalalaje?
 
Makocha
 
Yan unaiongelea Real Madrid Kama timu ndogo Sana au unafikir Liverpool alikuwa anacheza na Leeds United Real Madrid n moja ya timu zenye historia kubwa Sana Kama wew n mtu wa mpira ndomana kwenye kubeti amepewa ods nyingi Sana kuliko Liverpool pia Kama wew n mtu wa mpira nazani utakuwa unazijua rekodi za Madrid Kwan hujui Madrid ndo anaongoza kuchukua hilo kombe
 
Chelsea wasingefungwa kijinga wale wasingecheza mpira mwingu wangekuwa wanalinda sana

Moto umewaka pia , nadhani mpira nao unaenda na bahati . Mo sio wa kukosa magoli vile. Mane sio wa kukosa magoli vile

Au ulaya napo Uchawi upo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…