NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Yaap kuna jamaa anaitwa kiwiku alimpga mtu kinu cha kichwa.nondo ni nomaWale washawahi kuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaap kuna jamaa anaitwa kiwiku alimpga mtu kinu cha kichwa.nondo ni nomaWale washawahi kuua
we utakua jiran yangu mkuu,kama mpaka chafu hyo unaijua bas wewe ni wa kitaan hapa hapaYaap kuna jamaa anaitwa kiwiku alimpga mtu kinu cha kichwa.nondo ni noma
we utakua jiran yangu mkuu,kama mpaka chafu hyo unaijua bas wewe ni wa kitaan hapa hapa
kiigumila igumilaa mkuu.we utakua jiran yangu mkuu,kama mpaka chafu hyo unaijua bas wewe ni wa kitaan hapa hapa
teh teh maeneo ya white star au siokiigumila igumilaa mkuu.
kwa mkunyuguteh teh maeneo ya white star au sio
hivi mbamba yupo?kwa mkunyugu
Orodha ya timu za mpira wa miguu za watoto wa kihuni pamoja na vituko vyao katika soka, premier league na mchangani, bila kusahau wana soka waliokuwa wanacheza soka la kihuni.
Mimi naanza na timu zangu...
1. NYOTA NYEKUNDU.
2. CONGO UNITED
3.SIFA UNITED watoto wa Tandale....
5. ASHANTI YA ILALA
4. Kuna watu wanaitaja na AFRICAN SPORT ya TANGA but sijalithibitisha hilo.
ONGEZA NYINGINE NA VITUKO VYAO KWENYE SOKA.
KISA KIMOJA : NYOTA NYEKUNDU walikuwa na beki wao anaitwa JOHN BOSCO ambae baadae alisajiliwa na Simba. Kabla hajasajiliwa Simba, Madaraka Suleiman mzee wa Kiminyio, alisajiliwa Majimaji ya Songea akitokea Sifa United ya Tandale.
Maji maji wakaja kucheza na Nyota Nyekundu uwanja wa taifa. John Bosco akawa ndo anamkaba Madaraka. John Bosco alimchezea sana rafu Madaraka, ila Madaraka akawa ana mkaushia tu. Kala sana vipepsi nakadhalika..
Game ilivyoisha Madaraka akamfuata John Bosco nje ya dimba. Akamwamkwida akimwambi:
" We msengwile unaniona mi fala eeh kwa sababu nachezea Majimaji? Unaniona mi mngoni?" John Bosco alichezea kichapo cha haja. Wachezaji wengine wa Nyota Nyekundu wakakaushia tu kwa sababu wanajuma madaraka mtoto wa SIFA UNITED ya Tandale na moto wa watoto wa SIFA UNITED walikuwa wanaujua."
Dondosha jina la timu yoyote iliyo kuwa inacheza mpira wa kihuni pamoja na vituko vyao.
!
!
Black viba uwanja wa mbuzi Morogoro huko, ohooo.
!
!
Black viba uwanja wa mbuzi Morogoro huko, ohooo.
!
!
Black viba uwanja wa mbuzi Morogoro huko, ohooo.
na uwanja wao wa mbuyuni pr!
!
Black viba uwanja wa mbuzi Morogoro huko, ohooo.
na uwanja wao wa mbuyuni pr
hii ipo iringa wanavurugu balaaMatembo watoto wa Ubungo akina Hamidu?