Kalamzuvendi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2009
- 639
- 735
Shughuli enzi hizo ilikuwa uwanja wa Barafu.
Kulikuwa na Entebe ya Shibam Magomeni, Kiboko Msheli ya Magomeni Makuti, Magomeni Kondoa, Kagera Rangers, Linea Messina, Nzige Army.
Ilikuwa ikipigwa mechi ya Entebe na Kagera Rangers au Messina Line, uwanja ulikuwa unabeba zaidi ya watu Elfu 8.
Wachezaji wengi wa kwenye Ligi kwenye miaka ya mwishoni mwa 1980 walitoka kwenye timu hizi.
Mfano; Bakari Iddi, Kingsley Malwilo,Muscat Said, Kasa Musa, Ally Maumba, Issa Athumani (marehemu) Kasongo Athumani nk.
Zamani kulikuwa na mpira bana, mechi ya Mchangani lakini kuanzia saa 8 mchana uwanja wa Barafu ushajaa, kusubiri vichekesho vya Mbamba wa Entebe, Ally Waya na mdogo wake Honda.
Kulikuwa na Entebe ya Shibam Magomeni, Kiboko Msheli ya Magomeni Makuti, Magomeni Kondoa, Kagera Rangers, Linea Messina, Nzige Army.
Ilikuwa ikipigwa mechi ya Entebe na Kagera Rangers au Messina Line, uwanja ulikuwa unabeba zaidi ya watu Elfu 8.
Wachezaji wengi wa kwenye Ligi kwenye miaka ya mwishoni mwa 1980 walitoka kwenye timu hizi.
Mfano; Bakari Iddi, Kingsley Malwilo,Muscat Said, Kasa Musa, Ally Maumba, Issa Athumani (marehemu) Kasongo Athumani nk.
Zamani kulikuwa na mpira bana, mechi ya Mchangani lakini kuanzia saa 8 mchana uwanja wa Barafu ushajaa, kusubiri vichekesho vya Mbamba wa Entebe, Ally Waya na mdogo wake Honda.