NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
sawa sawa kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie watu mmenikumbusha mtaani kwetu kabisaaaa ! Kwa bi. Mtinge muuza vitumbua[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni joke au majina ya timu kweliMbuzi kalamba reli vs sisimizi kamaliza dafu. Ilikuwa sheeeder.
kuna Linea Messina
Waazilishi wengi wa hizi timu wameshafariki Kutona na mambo ya anasa na ujana kwa mfano pombe, dawa za kulevya, hiv/aids na waliopo wengi wao ni watu wazima age ya 60s plus 70sUmenikumbusha mbali Sana yamebaki majina tu kwasasa kidogo OPEC unaweza kusema IPO lakini zingine zote zimebaki majina
Unasemaje kuhusu Mwakatikaunatajaje linea messina bila kumtaja bro max ngube???
Huyu Van damme aliingia kwa chafu moja pale kwa Macheni alipigwa ngumi moja tu ndio ni ngumi moja bila ya nyongeza ikamtupa ndani ya Body ya pickup ugomvi ukaishia hapo.Hanna KaMa kagera rangers n.a. friends rangers hawa majirani kinesi ilikua atari mwanzoni mwa 2000.
Pia kuna abajalo vs friends watemi kuna van dame wa abajalo n.a. Eli mzozo
Kiboko MsheliOrodha ya timu za mpira wa miguu za watoto wa kihuni pamoja na vituko vyao katika soka, premier league na mchangani, bila kusahau wana soka waliokuwa wanacheza soka la kihuni.
Mimi naanza na timu zangu...
1. NYOTA NYEKUNDU.
2. CONGO UNITED
3.SIFA UNITED watoto wa Tandale....
5. ASHANTI YA ILALA
4. Kuna watu wanaitaja na AFRICAN SPORT ya TANGA but sijalithibitisha hilo.
ONGEZA NYINGINE NA VITUKO VYAO KWENYE SOKA.
KISA KIMOJA : NYOTA NYEKUNDU walikuwa na beki wao anaitwa JOHN BOSCO ambae baadae alisajiliwa na Simba. Kabla hajasajiliwa Simba, Madaraka Suleiman mzee wa Kiminyio, alisajiliwa Majimaji ya Songea akitokea Sifa United ya Tandale.
Maji maji wakaja kucheza na Nyota Nyekundu uwanja wa taifa. John Bosco akawa ndo anamkaba Madaraka. John Bosco alimchezea sana rafu Madaraka, ila Madaraka akawa ana mkaushia tu. Kala sana vipepsi nakadhalika..
Game ilivyoisha Madaraka akamfuata John Bosco nje ya dimba. Akamwamkwida akimwambi:
" We msengwile unaniona mi fala eeh kwa sababu nachezea Majimaji? Unaniona mi mngoni?" John Bosco alichezea kichapo cha haja. Wachezaji wengine wa Nyota Nyekundu wakakaushia tu kwa sababu wanajuma madaraka mtoto wa SIFA UNITED ya Tandale na moto wa watoto wa SIFA UNITED walikuwa wanaujua."
Dondosha jina la timu yoyote iliyo kuwa inacheza mpira wa kihuni pamoja na vituko vyao.
Zilikuwa na utani Kama Simba na yangaMechi zao refa anapulizia kipenga getini. Jamaa walikua wanaenda na mapanga, fimbo mawe, n.k. km vile kwa Madiba wanavyoenda na Vuvuzela.....
ASHANTI na BOM BOM.... balaa kubwa