Timu zingine kuiga 'Supu day' na majina ya wachezaji mechi za kimataifa ni kukosa ubunifu?

Timu zingine kuiga 'Supu day' na majina ya wachezaji mechi za kimataifa ni kukosa ubunifu?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Tumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!

Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?

Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo😀 Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote 😀

Soma Pia:
Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k.

Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi 😀

HUU NI USHAMBA

GX62KidXIAAClLs.jpeg
GX62wSZW8AAih8T.jpeg
GX62KikXYAAM6s9.jpeg
 
Hapa nawatetea watani wao ndio walianza miaka minne nyuma pale Temeke. Na mgeni rasmi wa kwanza mchezaji alikua ni Kibu Dennis. I stand to be corrected
Kibu huyu aliyejiunga na makolo 2021?? Yanga tangu enzi za kina Kamusoko tulishaanza hayo mambo
 
Kweli wangeiga mbinu kwanza kabla ya kuiga ushangiliaji, maana wanathimba sasa hivi hawana la kusherekea
 
Simba day uligundua ww..? Kutangaza uzi juu mliman kilimanjaro uligundua chura kiziwi wewe..?
 
Tumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!

Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?

Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo😀 Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote 😀

Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k
Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi 😀

HUU NI USHAMBA

View attachment 3101127View attachment 3101128View attachment 3101129
Kwenye hiyo picha ya chini kushoto huyo bwana mwenye midevu ni daktari wa binadamu.

Aliiacha kazi kazi yake ni uchawa hapo simba kuzunguka na timu mikoa yote ni chawa pro max.

Huyo jamaa ukimlaza sero hamalizi masaa 24 anatoka

Ana pesa na magali ila kazi yake ya kueleweka haijulikani

Inasemekana ni mtu wa eagle wings njiwa njiwa logo
 
Tumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!

Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?

Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo😀 Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote 😀

Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k
Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi 😀

HUU NI USHAMBA

View attachment 3101127View attachment 3101128View attachment 3101129
Umeandika kitoto sana ila hakuna namna lasaba mko mtaani
 
1.Simba ndo Klabu ya kwanza kuanzisha Simba day. Na nyie pimbi mkaja kuiga kwa kuleta Wiki ya Mwananchi.

2.Simba ndo klabu ya kwanza kucheza ikiwa imevaa jezi na viatu. Gongowazi na Kandambili mkaja kuiga baadae.
 
Mwl. aliyekufundisha mwandiko wakati uko shule akiona huu utopolo ulioandika atajiuzulu mara maja.
 
Back
Top Bottom