Timu zingine kuiga 'Supu day' na majina ya wachezaji mechi za kimataifa ni kukosa ubunifu?

Timu zingine kuiga 'Supu day' na majina ya wachezaji mechi za kimataifa ni kukosa ubunifu?

Utopolo sijui ni watu wa kumbukumbu ndogo... Simba wakitaka waje na hoja ya kuigwa na nyie si seva za JF zitajaa?
Yanga ni kaka yake Simba kiumri, sasa hapo nani anamuiga mwenzake? Yupi katangulia kuona jua 😀
 
Simba day uligundua ww..? Kutangaza uzi juu mliman kilimanjaro uligundua chura kiziwi wewe..?
Wiki ya mwananchi ilishakuwepo kitambo sana, Mlimani vinapelekwa Vikombe sio fulana kolo ww
 
Kwenye hiyo picha ya chini kushoto huyo bwana mwenye midevu ni daktari wa binadamu.

Aliiacha kazi kazi yake ni uchawa hapo simba kuzunguka na timu mikoa yote ni chawa pro max.

Huyo jamaa ukimlaza sero hamalizi masaa 24 anatoka

Ana pesa na magali ila kazi yake ya kueleweka haijulikani

Inasemekana ni mtu wa eagle wings njiwa njiwa logo
Kawaida hauwezi kuta shabiki wa Nguvu mbili akawa timamu na heshima mtaani
 
Umeandika kitoto sana ila hakuna namna lasaba mko mtaani
Shida ilianzia kushabikia Nguvu mbili dishi lazima liyumbe
1.Simba ndo Klabu ya kwanza kuanzisha Simba day. Na nyie pimbi mkaja kuiga kwa kuleta Wiki ya Mwananchi.

2.Simba ndo klabu ya kwanza kucheza ikiwa imevaa jezi na viatu. Gongowazi na Kandambili mkaja kuiga baadae.
Wiki ya mwananchi ilishakuwepo kitambo sana, Yanga inacheza na viatu vya mkoloni tokea 1930 Simba hata haijazaliwa bado 😀
 
Mwl. aliyekufundisha mwandiko wakati uko shule akiona huu utopolo ulioandika atajiuzulu mara maja.
Shida yako ilianzia ulipoamua kushabikia nguvu mbili, automatically unazaliwa bila akili😀 jitahidi usionyeshe ukolo wako
 
Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?
Eti Kombe lisilojulikana hivi Wewe unajua kanuni za mpira au mpira unaujua wewe ? Hilo kombe lisilojulikana ndio limekufanya utoke nafasi ya 80 mpaka ya 13 kwenye rank za vilabu barani Africa.
Akili zako ni tope na wewe mwenyewe ni Shabiki maandazi tu. Yaani wewe ni takataka
MwananchiOG
 
Mtoa mada bado mtoto mdogo muacheni akue.
Jikite shirikisho kiongozi, unaweza kuambulia chocho
Eti Kombe lisilojulikana hivi Wewe unajua kanuni za mpira au mpira unaujua wewe ? Hilo kombe lisilojulikana ndio limekufanya utoke nafasi ya 80 mpaka ya 13 kwenye rank za vilabu barani Africa.
Akili zako ni tope na wewe mwenyewe ni Shabiki maandazi tu. Yaani wewe ni takataka
MwananchiOG
Shida ilianzia Nguruwe fc walipofanya uchawi dhidi ya orlando pale bondeni, alafu bila yanga hiyo ni Ndondo cup ndiyo maana Motsepe hayatambui
 
Jikite shirikisho kiongozi, unaweza kuambulia chocho

Shida ilianzia Nguruwe fc walipofanya uchawi dhidi ya orlando pale bondeni, alafu bila yanga hiyo ni Ndondo cup ndiyo maana Motsepe hayatambui
Hujui kitu wewe ni Shabiki maandazi tu. Unalidharau kombe la shirikisho wakati ndio lililokusogeza kwenye rank za juu
 
Back
Top Bottom