MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
- Thread starter
- #41
Jikite shirikisho kiongozi, Mabululu bado hajamalizana nanyiKitambo huko kwa machura sio ๐๐๐ utopolo ni utopolo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite shirikisho kiongozi, Mabululu bado hajamalizana nanyiKitambo huko kwa machura sio ๐๐๐ utopolo ni utopolo tu.
umeona umekamatika unajirudi ๐๐๐Jikite shirikisho kiongozi, Mabululu bado hajamalizana nanyi
Baada ya kuwa na simba day yanga wakaja na wiki ya mwananchi, je yanga aliiga kwa simba?Tumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!
Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?
Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo๐ Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote ๐
Soma Pia:
Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k.
- Mashabiki Simba wanatamani supu pia, wanashindwa kusema
- Mashabiki wa Yanga Kagera wapiga supu wakiisubiri Kagera Sugar kesho mchezo wa Ligi kuu
Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi ๐
HUU NI USHAMBA
View attachment 3101127View attachment 3101128View attachment 3101129
Simba ilianzishwa na wanachama wa yangaUtopolo sijui ni watu wa kumbukumbu ndogo... Simba wakitaka waje na hoja ya kuigwa na nyie si seva za JF zitajaa?
Aah wapi,day na wiki ni vitu viwili tofautBaada ya kuwa na simba day yanga wakaja na wiki ya mwananchi, je yanga aliiga kwa simba?
Tumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!
Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?
Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo๐ Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote ๐
Soma Pia:
Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k.
- Mashabiki Simba wanatamani supu pia, wanashindwa kusema
- Mashabiki wa Yanga Kagera wapiga supu wakiisubiri Kagera Sugar kesho mchezo wa Ligi kuu
Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi ๐
HUU NI USHAMBA
View attachment 3101127View attachment 3101128View attachment 3101129
Ubwabwa ndondo day.Tumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!
Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?
Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo๐ Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote ๐
Soma Pia:
Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k.
- Mashabiki Simba wanatamani supu pia, wanashindwa kusema
- Mashabiki wa Yanga Kagera wapiga supu wakiisubiri Kagera Sugar kesho mchezo wa Ligi kuu
Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi ๐
HUU NI USHAMBA
View attachment 3101127View attachment 3101128View attachment 3101129
Simba week ni ipi hiyo?๐Ila kuoga Simba Day/week sawa?!
Alafu kavu kavu hamna hata kasoda๐Ubwabwa ndondo day.
Mbumbumbu wame copy and pasteTumezoea kuona Yanga wakija na ubunifu wa aina mbalimbali, mfano, Tumekuwa tukiona wakifanya 'Supu day' ambapo wanachama, wapenzi na mashabiki mbalimbali hukutana pamoja kufurahi na kubadilishana mawazo huku wakiburudika na supu!
Kuna kilabu kingine kinachoshiriki kombe lisilojulikana na Rais wa CAF nao wamekuja na maharage day, ambapo wanaonrkana wakiburudika kwa wali maharage, Je hii ni kusema ukosefu wa ubunifu au kuiga iga? Ina maana wameshindwa kuiga jinsi ya kutwaa vikombe?
Tumezoea kuona Yanga wakifanya hizi karamu baada ya kunyakua makombe mfano Ligi kuu, FA au ngao ya jamii, au kutinga makundi club bingwa, Sasa hivi vilabu bado havina mafanikio yoyote, ndiyo kwanza wanashiriki michuano hafifu, havina uhakika hata wa medali au kombe japo Ligi kuu, Lakini vinaiga wenzake pasipo kujua sababu ya wao kufanya hivyo๐ Badala kujikita kupata mafanikio kwanza ili siku moja nao wacheze club bingwa kama Yanga, au wafike fainali za CAF wenyewe wamejikita kula wali maharage kabla hawajapata mafanikio yoyote ๐
Soma Pia:
Yanga walikuja na kampeni ya heshima kwa wachezaji kwa kuipa michezo ya kimataifa majina ya wachezaji, mfano Max day, Pacome day, Aziz ki day, Bacca day n.k.
- Mashabiki Simba wanatamani supu pia, wanashindwa kusema
- Mashabiki wa Yanga Kagera wapiga supu wakiisubiri Kagera Sugar kesho mchezo wa Ligi kuu
Vilabu vingine navyo bila kuja na ubunifu wao, wanaiga tu kwa kuja na style hiyo hiyo ya mgeni rasmi ๐
HUU NI USHAMBA
View attachment 3101127View attachment 3101128View attachment 3101129