Corona2020
Senior Member
- Feb 8, 2020
- 142
- 391
Hiyo ya kurudi nyuma na kushusha vioo ni Mimi kabisa. Tinted kioo Cha mbele siweki kabisaNi kweli nawashangaaga sana wanaoweka tinted ya kioo cha mbele. Nahisi hata sheria haitaki uweke. Kuna kipindi magari maalumu ndio yalikuwa yanawekewa hiyo tinted. Yaani ukiiona tu unajua gari ya wasiojulikana hiyo.
Kisanga ikifika jioni tu unakaza macho kama unasaka bolt ya saa.
Unatumia nguvu nyingi sana kuona.
Hizi za pembeni tu nikiwa narudi reverse sehemu ya changamoto lazima nishushe vioo ili nipate view nzuri.
Sasa na Cha mbele utashusha 😂😂😂American tinted ikifika usiku unaweza ukajikuta unatembea na gari huku umeshusha vioo🤣
Unatoa shingo kwa pembeni hivi mkuuSasa na Cha mbele utashusha 😂😂😂
Duh,tuongeze juhud ktk upambanaj mkuu ili na sisi siku moja tumiliki magar yetuKuwa na amani mi mwanzisha Uzi pia sina gari lakini naona magari ya watu navyopewa lifti!
Muda ukifika wala hatutatumia nguvu! Tuvumilie tu mwanetuDuh,tuongeze juhud ktk upambanaj mkuu ili na sisi siku moja tumiliki magar yetu
Nchi maskini hiyoNigeria wao kuweka tinted lazima upewe kibali.
Na ndio nchi yenye uchumi mkubwa Africa nzima.Nchi maskini hiyo
Wanaogopa Boko haram wasitumie huo mwanyaNigeria wao kuweka tinted lazima upewe kibali.
Wabongo wanapenda sana mtu mwenye maneno mengi ya kujizungusha. Hata kama point hamna.Hivi kwanini wabongo huwa mnapenda sana kurudia rudia maandishi bila sababu? Inaboa sana.
Tinted za kimarekani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji24][emoji23]Tuseme tu ukweli! Ka tinted! ni kaugonjwa ketu wengi!
Sina maana huu uzi niwakuwatambia hapana; siyo lazima niwe na kagari ili kuifurahia tinted, bali hata napopewa lift tu madhila, kero na utamu wa tinted huwa unaonekana!
Tinted ni kilevi kama vilevi vingine visivyolewesha!
Kupenda kunywa Pepsi baridi ni kilevi lakini hakileweshi, kunywa energy drink ni kilevi lakini hakileweshi, kungalia tamthilia ni kilevi lakini hakileweshi, kuangalia mizigo ni kilevi lakini hakileweshi n.k
Kupenda kutumia tinted ni kilevi pia! Ukizoea huwezi kufurahia gari isiyo kuwa na tinted kwani utajiona kama umekaa kibarazani!
Zamani tulizoea kuweka tinted za vioo vya pembeni lakini sasa teknolojia inazidi kukua!
Hivi sasa kuna ingizo jipya almaarufu American tinted!
American tinted wamekuja na tinted ya kioo cha mbele ambacho inadaiwa ukiwa ndani ya gari unaona fresh kabisa!
Mimi ni miongoni mwa watu waliovutiwa kujaribu kuishuhudia American tinted ya kioo cha mbele aina ya 4M!
Ukweli ni kwamba haya ndiyo niliyogundua baada ya kuitumia.
KIUFUPI AMERICAN TINTED YA MBELE IMETAWALIWA NA UVUMILIVU!
- American tinted ya kioo cha mbele mchana unaona vizuri kama kawaida lakini usiku inafifia
- Usiku inahitaji umakini mkubwa kuona vitu ambavyo havina taa au non reflecting object
- Usiku ukiona mtu anakwenda mbio na tinted ya mbele tambua anatumia uzoefu wa njia (kaikariri njia la sivyo kukiwa na mabadiliko ya njia either ya tuta jipya mbele lazima aliparamie kwa surprise)
- Kukiwa na mvua au ukungu ni mwendo wa kunyata tu kwaweli
- Usiku tunazuga hatuna haraka lakini ukweli ni kwamba hatuoni vizuri
- Kuhama njia kwenye two way traffic boda boda wanatukana sana maana sometimes siyo rahisi kuwaona!
Ni nzuri lakini moyoni tunateseka kimya kimya lakini tunavumilia hivyo hivyo!
Tinted ya mbele ni kuvumilia tu!
Siyo kwamba naiponda tinted ya mbele hapana, naipenda lakini starehe yake inahitaji uvumilivu tu katika majira na nyakati!
View attachment 2582037View attachment 2582038
Ukweli ni kwamba haya ndiyo niliyogundua baada ya kuitumia.... point hizo hapo kwenye starred** uko sahihi, nilikua na mnyama wangu subie kila nikitoka NRB kuelekea WND inakuwa mateso bila chuki namimi ni mwendo wa nocturnal tu ndio safari zangu, ...kama unavosema uzoefu wa njia ila nilishwahi kuparamia fisi, na kukwepa jiwe la ngamia barabarani NarokTuseme tu ukweli! Ka tinted! ni kaugonjwa ketu wengi!
Sina maana huu uzi niwakuwatambia hapana; siyo lazima niwe na kagari ili kuifurahia tinted, bali hata napopewa lift tu madhila, kero na utamu wa tinted huwa unaonekana!
Tinted ni kilevi kama vilevi vingine visivyolewesha!
Kupenda kunywa Pepsi baridi ni kilevi lakini hakileweshi, kunywa energy drink ni kilevi lakini hakileweshi, kungalia tamthilia ni kilevi lakini hakileweshi, kuangalia mizigo ni kilevi lakini hakileweshi n.k
Kupenda kutumia tinted ni kilevi pia! Ukizoea huwezi kufurahia gari isiyo kuwa na tinted kwani utajiona kama umekaa kibarazani!
Zamani tulizoea kuweka tinted za vioo vya pembeni lakini sasa teknolojia inazidi kukua!
Hivi sasa kuna ingizo jipya almaarufu American tinted!
American tinted wamekuja na tinted ya kioo cha mbele ambacho inadaiwa ukiwa ndani ya gari unaona fresh kabisa!
Mimi ni miongoni mwa watu waliovutiwa kujaribu kuishuhudia American tinted ya kioo cha mbele aina ya 4M!
Ukweli ni kwamba haya ndiyo niliyogundua baada ya kuitumia.
KIUFUPI AMERICAN TINTED YA MBELE IMETAWALIWA NA UVUMILIVU!
- American tinted ya kioo cha mbele mchana unaona vizuri kama kawaida lakini usiku inafifia
- Usiku inahitaji umakini mkubwa kuona vitu ambavyo havina taa au non reflecting object
- Usiku ukiona mtu anakwenda mbio na tinted ya mbele tambua anatumia uzoefu wa njia (kaikariri njia la sivyo kukiwa na mabadiliko ya njia either ya tuta jipya mbele lazima aliparamie kwa surprise)
- Kukiwa na mvua au ukungu ni mwendo wa kunyata tu kwaweli
- Usiku tunazuga hatuna haraka lakini ukweli ni kwamba hatuoni vizuri
- Kuhama njia kwenye two way traffic boda boda wanatukana sana maana sometimes siyo rahisi kuwaona!
Ni nzuri lakini moyoni tunateseka kimya kimya lakini tunavumilia hivyo hivyo!
Tinted ya mbele ni kuvumilia tu!
Siyo kwamba naiponda tinted ya mbele hapana, naipenda lakini starehe yake inahitaji uvumilivu tu katika majira na nyakati!
View attachment 2582037View attachment 2582038
mwanangu V8 langu nililitoa tinted full kujiachia na raha sana ukiwa barabarani' full kuona nature ukiwa safarini jua likipiga sana upande usioutaka unaweka zile stickable curtiansWala wake za watu na watu wa mademu ndo wanaongoza kutembea na magari ya tinted.
Ila watakatifu hawana shida
Wakuperuzi kwa sasa tunaongelea magari, subiri topic ya maghetto madirisha. Nyumba hazitembei usikuDah American tinted noma wazee in short cna gari lkn nimeweka dirishani kwngu geto hatar tupu usiku sioni kitu labda taa ikiwa imewashwa nje ndo naona kw tabu
Yaani unafuatiliwa na haya haya magari aliyokalia mjapani na kujambiwa na mzungu kabla hawajayaship bongomheshimiwa umemaliza kabisa sababu maana hii ndiyo yenyewe hasa hata nguo nyeupe wakati mwingine nao wanatusumbua akikuona mfupi tu kasimamisha gari ila ikiwa tinted anajiuliza nisimamishe au, upo kwenye foleni mwenzako yupo kwenye daladala lazima maneno yatatoka huyu gari zima yupo peke yake atakuwa fisadi halafu angalia shati lake ndiyo maana bongo watu wanapenda tinted
Tanzania ndio nchi tajiri!? Nigeria ndio nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndio namba moja. Moja ya nchi No.1 kwa startups dunianiNchi maskini hiyo