- Thread starter
- #61
HahahTanzania ndio nchi tajiri!? Nigeria ndio nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndio namba moja. Moja ya nchi No.1 kwa startups duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahTanzania ndio nchi tajiri!? Nigeria ndio nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndio namba moja. Moja ya nchi No.1 kwa startups duniani
Kabisa tinted ya ninimwanangu V8 langu nililitoa tinted full kujiachia na raha sana ukiwa barabarani' full kuona nature ukiwa safarini jua likipiga sana upande usioutaka unaweka zile stickable curtians
[emoji3][emoji3][emoji3]Yaani unafuatiliwa na haya haya magari aliyokalia mjapani na kujambiwa na mzungu kabla hawajayaship bongo
Nimesoma zaidi ya para nne anajizunguusha hadi keroWabongo wanapenda sana mtu mwenye maneno mengi ya kujizungusha. Hata kama point hamna.
Bila blah blah bongo hutoboiWabongo wanapenda sana mtu mwenye maneno mengi ya kujizungusha. Hata kama point hamna.
What are u hiding?Napenda sana tint
Nimesha wahi kutumia ila usiku lazima ufungue kioo, tena usiombe iwe usiku na mvua inanyesha[emoji851][emoji851][emoji41]Zipo tinted helmet pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Gari bila tinted inakuwa kama kabati la vyombo
Mkuu nashauri ubadili kwanza ID yako kabla ya yote,Utakuja kunishukuru baadae.Kwhy huu uzi ni wa wenye magari tu??
Hv wenzetu mnafanya kazi gani had mnamiliki magari??
Maan mie kila nikipambana napigwa nockout tu,sina hat uwezo wa kumiliki hiko kioo cha tinted.
Mungu anijalie na mm nipate rizki ya kumiliki mkoko wangu km nyinyi[emoji120]
Nimesha wahi kutumia ila usiku lazima ufungue kioo, tena usiombe iwe usiku na mvua inanyesha![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Muda mwingine unakuwaga na akili!Gari bila tinted inakuwa kama kabati la vyombo
Tashwishwi kweli lakini ni kuvumilia tuUnaweza kuta wenyewe wanayo miwani maalumu ya kuendesha usiku, tatizo wabongo tunapenda kuiga kila kitu. Kioo cha mbele tinted inawekwa kama utepe kwa juu kukinga jua. Kuweka tinted kioo kizima cha mbele halafu uhangaike kukodoa macho usiku ni uzwazwa.....
OohZIle American Tinted z8nazouzwa kwenye madukana zile zingine za kawaida ambazo zinzuzwa kwenye viboksi siyo za kuweka kioo cha mbele.
Muda mwingine unakuwaga na akili!
MichepukoWhat are u hiding?
Kwa wale wapenda BJ kwny Gari,Tinted ndio kilevi chao
🤣🤣we jamaa..Dah American tinted noma wazee in short cna gari lkn nimeweka dirishani kwngu geto hatar tupu usiku sioni kitu labda taa ikiwa imewashwa nje ndo naona kwa tabu
Unato tumichepuo tungapi mwaisaMichepuko
American tinted dirishan🤣🤣we jamaa..