Tinted za kimarekani kwenye gari tunazipenda lakini zinahitaji uvumilivu tu kwakweli

Unaweza kuta wenyewe wanayo miwani maalumu ya kuendesha usiku, tatizo wabongo tunapenda kuiga kila kitu. Kioo cha mbele tinted inawekwa kama utepe kwa juu kukinga jua. Kuweka tinted kioo kizima cha mbele halafu uhangaike kukodoa macho usiku ni uzwazwa.....
 
Mkuu nashauri ubadili kwanza ID yako kabla ya yote,Utakuja kunishukuru baadae.
 
Tashwishwi kweli lakini ni kuvumilia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…