residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Sielewi kabisa gari ya shirika/taasisi ya umma inawekwa "tinted" ili iweje!!???Ustaarabu wa kule na huku kwetu unatofautiana may be! Na vinara na waanzilishi wa tinted ni viongozi wetu wametufundisha kujificha
WanajifichaSielewi kabisa gari ya shirika/taasisi ya umma inawekwa "tinted" ili iweje!!???
Juzikati nlishawishika kuweka hii American tinted na kuitoa ya zamani, doooh!Tuseme tu ukweli! Ka tinted! ni kaugonjwa ketu wengi!
Sina maana huu uzi niwakuwatambia hapana; siyo lazima niwe na kagari ili kuifurahia tinted, bali hata napopewa lift tu madhila, kero na utamu wa tinted huwa unaonekana!
Tinted ni kilevi kama vilevi vingine visivyolewesha!
Kupenda kunywa Pepsi baridi ni kilevi lakini hakileweshi, kunywa energy drink ni kilevi lakini hakileweshi, kungalia tamthilia ni kilevi lakini hakileweshi, kuangalia mizigo ni kilevi lakini hakileweshi n.k
Kupenda kutumia tinted ni kilevi pia! Ukizoea huwezi kufurahia gari isiyo kuwa na tinted kwani utajiona kama umekaa kibarazani!
Zamani tulizoea kuweka tinted za vioo vya pembeni lakini sasa teknolojia inazidi kukua!
Hivi sasa kuna ingizo jipya almaarufu American tinted!
American tinted wamekuja na tinted ya kioo cha mbele ambacho inadaiwa ukiwa ndani ya gari unaona fresh kabisa!
Mimi ni miongoni mwa watu waliovutiwa kujaribu kuishuhudia American tinted ya kioo cha mbele aina ya 4M!
Ukweli ni kwamba haya ndiyo niliyogundua baada ya kuitumia.
KIUFUPI AMERICAN TINTED YA MBELE IMETAWALIWA NA UVUMILIVU!
- American tinted ya kioo cha mbele mchana unaona vizuri kama kawaida lakini usiku inafifia
- Usiku inahitaji umakini mkubwa kuona vitu ambavyo havina taa au non reflecting object
- Usiku ukiona mtu anakwenda mbio na tinted ya mbele tambua anatumia uzoefu wa njia (kaikariri njia la sivyo kukiwa na mabadiliko ya njia either ya tuta jipya mbele lazima aliparamie kwa surprise)
- Kukiwa na mvua au ukungu ni mwendo wa kunyata tu kwaweli
- Usiku tunazuga hatuna haraka lakini ukweli ni kwamba hatuoni vizuri
- Kuhama njia kwenye two way traffic boda boda wanatukana sana maana sometimes siyo rahisi kuwaona!
Ni nzuri lakini moyoni tunateseka kimya kimya lakini tunavumilia hivyo hivyo!
Tinted ya mbele ni kuvumilia tu!
Siyo kwamba naiponda tinted ya mbele hapana, naipenda lakini starehe yake inahitaji uvumilivu tu katika majira na nyakati!
View attachment 2582037View attachment 2582038
Ushamba mzigoHivi kwanini Magari yakitoka huko tuponunua hayana Tinted ila yakifika hapa ndo twaweka?
Maana kwenye nchi nyingi magari yenye tint ni ya serikali pekee, tena tint ni vioo vya abiria tu.Ushamba mzigo
Wamo humu vichwa ngumuJuzikati nlishawishika kuweka hii American tinted na kuitoa ya zamani, doooh!
Ni balaa, ilivyofika usiku sio taabu tu, ni balaa na hatari sana,
Nimelazimika kukata sehemu za Side mirrors ili niweze kuona vyema nyuma, maana kusema ukweli ikifika usiku uoni unakuwa hafifu mnoooo na kwa barabara za mijini ambako bodaboda ni wengi na wanakatiza kila upande tena kwa kushtukiza, unaweza jikuta na majanga makuu very soon....
Kioo cha mbele, mweka tinted mwenyewe alinionya nisiiweke full, niweke sehem ya juu tu kuzuia mwanga wa jua kali, baaas
Sijui kama kuna wanaoiweka hii tinted vioo vyote na kiitumia vyema nyakati zote, ila, naona watakuwa wanatumia tu uzoefu wa barabara
Ushubwada promaxMaana kwenye nchi nyingi magari yenye tint ni ya serikali pekee, tena tint ni vioo vya abiria tu.
Ila Tz Tint hadi kioo cha mbele
Ni maamuziKuweka kioo cha mbele (windshield) ni kosa?
Nitaweka tinted zote sio hiyo ya mbeleTuseme tu ukweli! Ka tinted! ni kaugonjwa ketu wengi!
Sina maana huu uzi niwakuwatambia hapana; siyo lazima niwe na kagari ili kuifurahia tinted, bali hata napopewa lift tu madhila, kero na utamu wa tinted huwa unaonekana!
Tinted ni kilevi kama vilevi vingine visivyolewesha!
Kupenda kunywa Pepsi baridi ni kilevi lakini hakileweshi, kunywa energy drink ni kilevi lakini hakileweshi, kungalia tamthilia ni kilevi lakini hakileweshi, kuangalia mizigo ni kilevi lakini hakileweshi n.k
Kupenda kutumia tinted ni kilevi pia! Ukizoea huwezi kufurahia gari isiyo kuwa na tinted kwani utajiona kama umekaa kibarazani!
Zamani tulizoea kuweka tinted za vioo vya pembeni lakini sasa teknolojia inazidi kukua!
Hivi sasa kuna ingizo jipya almaarufu American tinted!
American tinted wamekuja na tinted ya kioo cha mbele ambacho inadaiwa ukiwa ndani ya gari unaona fresh kabisa!
Mimi ni miongoni mwa watu waliovutiwa kujaribu kuishuhudia American tinted ya kioo cha mbele aina ya 4M!
Ukweli ni kwamba haya ndiyo niliyogundua baada ya kuitumia.
KIUFUPI AMERICAN TINTED YA MBELE IMETAWALIWA NA UVUMILIVU!
- American tinted ya kioo cha mbele mchana unaona vizuri kama kawaida lakini usiku inafifia
- Usiku inahitaji umakini mkubwa kuona vitu ambavyo havina taa au non reflecting object
- Usiku ukiona mtu anakwenda mbio na tinted ya mbele tambua anatumia uzoefu wa njia (kaikariri njia la sivyo kukiwa na mabadiliko ya njia either ya tuta jipya mbele lazima aliparamie kwa surprise)
- Kukiwa na mvua au ukungu ni mwendo wa kunyata tu kwaweli
- Usiku tunazuga hatuna haraka lakini ukweli ni kwamba hatuoni vizuri
- Kuhama njia kwenye two way traffic boda boda wanatukana sana maana sometimes siyo rahisi kuwaona!
Ni nzuri lakini moyoni tunateseka kimya kimya lakini tunavumilia hivyo hivyo!
Tinted ya mbele ni kuvumilia tu!
Siyo kwamba naiponda tinted ya mbele hapana, naipenda lakini starehe yake inahitaji uvumilivu tu katika majira na nyakati!
View attachment 2582037View attachment 2582038
Tuna mambo mengi ya gizaniHivi kwanini Magari yakitoka huko tuponunua hayana Tinted ila yakifika hapa ndo twaweka?
Hawafuatiliani wakati Diana, alikufa kwa ajari wakati anawakimbia wadakuzi.Kule wana self respect na hawafatilian , ila bongo nyoso umbea mwing umeweka tuu Tinted mtu anakazan kuptsha macho ndan ya Gari [emoji1783][emoji1783]
Tunaongez privacy ZETU
ila yadi hakuna gari ya chini ya milioni 10Na waweka tinted kali asilimia kubwa ni watu wenye tugari tudogo...
Wanaoweka tint vioo vya mbele hawaweki huo uchafu unaitwa american tinted, kuna special tint za kuweka kioo cha mbele gharama yake kwa kioo cha mbele siyo chini ya 80,000 tzs, mimi nimeweka na ninaona vizuri tuu usikuJuzikati nlishawishika kuweka hii American tinted na kuitoa ya zamani, doooh!
Ni balaa, ilivyofika usiku sio taabu tu, ni balaa na hatari sana,
Nimelazimika kukata sehemu za Side mirrors ili niweze kuona vyema nyuma, maana kusema ukweli ikifika usiku uoni unakuwa hafifu mnoooo na kwa barabara za mijini ambako bodaboda ni wengi na wanakatiza kila upande tena kwa kushtukiza, unaweza jikuta na majanga makuu very soon....
Kioo cha mbele, mweka tinted mwenyewe alinionya nisiiweke full, niweke sehem ya juu tu kuzuia mwanga wa jua kali, baaas
Sijui kama kuna wanaoiweka hii tinted vioo vyote na kiitumia vyema nyakati zote, ila, naona watakuwa wanatumia tu uzoefu wa barabara
HahahahahahaDah American tinted noma wazee in short cna gari lkn nimeweka dirishani kwngu geto hatar tupu usiku sioni kitu labda taa ikiwa imewashwa nje ndo naona kw tabu
Mkipanda au kuendesha bodaboda hywa mnaweka tinted?Tuseme tu ukweli! Ka tinted! ni kaugonjwa ketu wengi!
Sina maana huu uzi niwakuwatambia hapana; siyo lazima niwe na kagari ili kuifurahia tinted, bali hata napopewa lift tu madhila, kero na utamu wa tinted huwa unaonekana!
Tinted ni kilevi kama vilevi vingine visivyolewesha!
Kupenda kunywa Pepsi baridi ni kilevi lakini hakileweshi, kunywa energy drink ni kilevi lakini hakileweshi, kungalia tamthilia ni kilevi lakini hakileweshi, kuangalia mizigo ni kilevi lakini hakileweshi n.k
Kupenda kutumia tinted ni kilevi pia! Ukizoea huwezi kufurahia gari isiyo kuwa na tinted kwani utajiona kama umekaa kibarazani!
Zamani tulizoea kuweka tinted za vioo vya pembeni lakini sasa teknolojia inazidi kukua!
Hivi sasa kuna ingizo jipya almaarufu American tinted!
American tinted wamekuja na tinted ya kioo cha mbele ambacho inadaiwa ukiwa ndani ya gari unaona fresh kabisa!
Mimi ni miongoni mwa watu waliovutiwa kujaribu kuishuhudia American tinted ya kioo cha mbele aina ya 4M!
Ukweli ni kwamba haya ndiyo niliyogundua baada ya kuitumia.
KIUFUPI AMERICAN TINTED YA MBELE IMETAWALIWA NA UVUMILIVU!
- American tinted ya kioo cha mbele mchana unaona vizuri kama kawaida lakini usiku inafifia
- Usiku inahitaji umakini mkubwa kuona vitu ambavyo havina taa au non reflecting object
- Usiku ukiona mtu anakwenda mbio na tinted ya mbele tambua anatumia uzoefu wa njia (kaikariri njia la sivyo kukiwa na mabadiliko ya njia either ya tuta jipya mbele lazima aliparamie kwa surprise)
- Kukiwa na mvua au ukungu ni mwendo wa kunyata tu kwaweli
- Usiku tunazuga hatuna haraka lakini ukweli ni kwamba hatuoni vizuri
- Kuhama njia kwenye two way traffic boda boda wanatukana sana maana sometimes siyo rahisi kuwaona!
Ni nzuri lakini moyoni tunateseka kimya kimya lakini tunavumilia hivyo hivyo!
Tinted ya mbele ni kuvumilia tu!
Siyo kwamba naiponda tinted ya mbele hapana, naipenda lakini starehe yake inahitaji uvumilivu tu katika majira na nyakati!
View attachment 2582037View attachment 2582038
Tunawekaga kwenye helmet baadhi mkuuMkipanda au kuendesha bodaboda hywa mnaweka tinted?
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji1732]ila yadi hakuna gari ya chini ya milioni 10