Tetesi: Tip From Deep Inside: Uchunguzi wa Kesi 9 za Ufisadi Mkubwa Umekamilika.Soon Vigogo Kizimbani

Tetesi: Tip From Deep Inside: Uchunguzi wa Kesi 9 za Ufisadi Mkubwa Umekamilika.Soon Vigogo Kizimbani

Lowasa ajipange kisaikolojia...

Anna Tibaijuka ajiandae kiphysikia

Chenge ajiandae kiswahilikia

Escro&co wajiandae kihistorikia
Ana Tibaijuka ndo kasaini IPTL?

au askofu Kilaini nae sikuhizi anasaini IPTL.

Unamfikisha Tibaijuka mahakamani kwa kosa lipi hasa in regard to IPTL?
 
Mimi naona mkanganyiko juu ya hizi kesi mwisho wa siku hakuna atayefungwa wanapelekwa pale Palestine hospital kufanya usafi
 
Wanabodi.

Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.

Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.

Source: A reliable tip from deep inside!.

Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.

Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".

Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.

Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.

Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.

Paskali
PANDORA BOX ndo linafunguliwa?
 
Obstacle ni ccm
Si kweli. Tuliona watu wakiteswa ofisi za chadema. Na hata nyumbani kwa aliyekuwa kiongozi wa chadema tena ana PhD ya kanoni za kanisa katoliki. Umesahau tukukumbushe?

Fikiri wameweza kudhalilisha watu wakati hawana madaraka, ukiwapa madaraka hao itakuwaje?

Post yangu uliyoijibu sijaongelea chama wala siasa, nimeongelea jinsi khulka zetu za ukatili na kutoheshimu haki za binadam tunavyoanza kuzijenga toka majumbani, tukifika mashuleni yale ya kusomea ujinga utakumbana na viboko vya walimu mpaka ujinga ukuingie, unaonesha nawe ni hali kadhalika.
 
Hamna ulichoelezwa mzee kama haujapewa majina ya hao majambazi na kesi zao ni gahawa tuu hii...ni sawa na picha za kihindi anakufa sterling anazaliwa mtoto anakuja kuwa sterling wa picha tena...
 
Sasa mkuu kama hujui ni vigogo wapi na kesi zinahusu nini
Nilidhani ungevuta subira kwanza, kabla ya kuleta huu uzi humu

Hamna kitu huyu ni wale wale tuu, series za usanii ni zile zile za kula zege ktk vikao...hawa wanatumwa kuja kupima upepo na kutafuta kiki....utamsikia ktk maandamano ya kuunga mkono ukagame, na then huyu huyu atakwambia pilato aheshimiwe, sijui huwezi kumuhoji !!

Last person to trust anything from.....
 
Msomi wa kitambo inakuwaje unatupa habari ambazo ni zakufikirika. Je zisipokuja?. Nakutegemea sana tupe habari zenye uhakika zaidi kaka.
 
Si kweli. Tuliona watu wakiteswa ofisi za chadema. Na hata nyumbani kwa aliyekuwa kiongozi wa chadema tena ana PhD ya kanoni za kanisa katoliki. Umesahau tukukumbushe?

Fikiri wameweza kudhalilisha watu wakati hawana madaraka, ukiwapa madaraka hao itakuwaje?

Post yangu uliyoijibu sijaongelea chama wala siasa, nimeongelea jinsi khulka zetu za ukatili na kutoheshimu haki za binadam tunavyoanza kuzijenga toka majumbani, tukifika mashuleni yale ya kusomea ujinga utakumbana na viboko vya walimu mpaka ujinga ukuingie, unaonesha nawe ni hali kadhalika.
Povu la zoazoa.
Haya maneno ni kweli na hakika:-
"kikwazo ni ccm"
 
Si kweli. Tuliona watu wakiteswa ofisi za chadema. Na hata nyumbani kwa aliyekuwa kiongozi wa chadema tena ana PhD ya kanoni za kanisa katoliki. Umesahau tukukumbushe?

Fikiri wameweza kudhalilisha watu wakati hawana madaraka, ukiwapa madaraka hao itakuwaje?

Post yangu uliyoijibu sijaongelea chama wala siasa, nimeongelea jinsi khulka zetu za ukatili na kutoheshimu haki za binadam tunavyoanza kuzijenga toka majumbani, tukifika mashuleni yale ya kusomea ujinga utakumbana na viboko vya walimu mpaka ujinga ukuingie, unaonesha nawe ni hali kadhalika.
Povu la zoazoa.
Haya maneno ni kweli na hakika:-
"kikwazo ni ccm"
 
kweli mapambano haya ya mafisadi na wahujumu uchumi hayahitaji masihara hata kidogo!
vita hii haitaji kuangalia sura ya mtu au ushawishi wake ktk jamii, hapo tutafanikiwa.

Kama vita hii itatekelezwa angalau kwa asilimia 85 basi ajenda ya ufisadi nchini itakuwa umekomeshwa.

wananchi tunataka kuona kesi hizi zinasikilizwa kwa wakati na kuamuliwa haraka angalau miezi sita tuwe tumeona matokeo sio mizengwe!!!
 
Bogus article full of contradictions ...cowardice ,scared to be quizzed your reliable source...sijuwi unaponaje cybercrime wewe???
 
Wanabodi.

Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.

Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.

Source: A reliable tip from deep inside!.

Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.

Awali kulipandishwa uzi
TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada ...
taarifa hii TAKUKURU, inazungumzia uchunguzi, taartifa ya source wangu, inasema uchunguzi umekamilika, kesi ziko mezani kwa DPP, zinasubiri tuu uamuzi wa DPP.

Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".

Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.

Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.

Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.

Paskali
Hivi kuna uchaguzi karibuni?
 
Back
Top Bottom