FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Povu !inakutoka wewe na unakisia kisia tu.Povu la zoazoa.
Haya maneno ni kweli na hakika:-
"kikwazo ni ccm"
Sikushangai kwa kuwa nnauhakika elimu yako ni ya kujazwa ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Povu !inakutoka wewe na unakisia kisia tu.Povu la zoazoa.
Haya maneno ni kweli na hakika:-
"kikwazo ni ccm"
Iddi mubaraka! Ustaazati!!Povu !inakutoka were na unakisia kisia tu.
Sikushangai kwa kuwa nnauhakika elimu yako ni ya kujazwa ujinga.
Mimi namaanisha vita dhidi ya ufisadi. Kutokuwa na macho maana yake, kusiwe na double standard.Kuna vita gani hapa?
Serikali kumkamata mtuhumiwa mnnaminishwa ni vita?
Ama kweli hata umtwange mpumbavu kinuni Upumbavu haumtoki!!!
Ninachojua kwa uhakika ni kuwa ESCROW na ya RADA ndio tayari zipo zinasubiria mesenja azipeleke kwa pilatoWanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Awali kulipandishwa uzi
TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada ...
taarifa hii TAKUKURU, inazungumzia uchunguzi, taartifa ya source wangu, inasema uchunguzi umekamilika, kesi ziko mezani kwa DPP, zinasubiri tuu uamuzi wa DPP.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali
Alishasema NYOKA MWENYE MAKENGEZAMKUU HILI NI PICHA LA KUIGIZA TU KAMA WALE WENYE KINGA SIJUI NGAO HAWAHUSIKI MAANA WALE NDIO WALIKUWA WATOA AMRI
Wanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
....
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
...
Paskali
Wanabodi.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali
walewaleLowassa Leo harudi nyumbani, anayaanza maisha mapya ya gerezani
usihofu zitafika tu, hata miaka kumi ijayo2 &3 Sahau kabisa.Hizo kesi zikifika mahakamani nitaomba Dunia isimame ili nishuke
Were=wewePovu !inakutoka were na unakisia kisia tu.
Sikushangai kwa kuwa nnauhakika elimu yako ni ya kujazwa ujinga.
Jamaa alisoma alama za nyakatiSalv Sasa hivi yuko wapi Na Muhingo je?
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Siku tukijuwa kujiheshimu wenyewe ndiyo tutajuwa kuheshimu binaadam wengine.
Binadam hata awe na makosa hatakiwi kudhadhalishwa mbele ya vyombo vya sheria. Hukumu ndiyo utaamua adhabu ama la. Na kama ni adhabu basi nayo hutolewa kwa mujibu wa sheria.
Tatizo kubwa la kutoheshimu haki za binadam huanzia kwenye malezi majumbani mwetu. Tunalea watoto kama watumwa, fimbo kwa kwenda mbele.
Mtoto aliyelelewa hivyo (abused) utegemee nini kutoka kwake?
Upopo upopo acha tumalize mwaka kwa amani mkuu punguza punguza speed ya maono!!!Mimi naunga mkono sana ila sipendi ubaguzi.Utakuta niwatu flani flani tu watashitakiwa wengine no!hizi vita za kibaguzi hazijawahi kimwacha mtu salama.Haki isipotendeka "kibiti"nyingine inakuja.Wateule wake No sasa miaka kumi ikiisha kama tusipoimarisha mifumo tutajikuta na yeye watu wake wanashtakiwa hivyo hivyo na sasa wakwaake itakiwa uvunjaji wa katiba.Mark my word wazungu wanasema
Mama Asalaam alykum !Povu !inakutoka wewe na unakisia kisia tu.
Sikushangai kwa kuwa nnauhakika elimu yako ni ya kujazwa ujinga.
Richmond hii alikujankuifungua Obama hama Richmond nyingine??? Tujiongeze akili kidogo tuuu yaani kiduchuWanabodi.
Nimepokea tetesi from deep inside kuwa kuna kesi nyingine 8 za ufisadi ambazo uchunguzi umekamilika na sasa ziko mezani kwa DPP zikisubiri kibali cha kupelekwa mahakamani.
Hili ni bandiko la ile jf advantage, be the first to know kuwa baada ya James Rugemalila na Habinder Sing kupandishwa kizimbani, uchunguzi kuhusu kesi nyingine 8 za ufisadi mkubwa zimekamilika hivyo soon kuna Vigogo wengine wakubwa watapandishwa kizimbani.
Source: A reliable tip from deep inside!.
Hata hivyo source hiyo from deep inside haikusema kesi hizo nane ni kesi zipi za ufisadi upi na wala ni vigogo gani hao watakao pandishwa kizimbani, ni kina nani na wamefanya nini!.
Awali kulipandishwa uzi
TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada ...
taarifa hii TAKUKURU, inazungumzia uchunguzi, taartifa ya source wangu, inasema uchunguzi umekamilika, kesi ziko mezani kwa DPP, zinasubiri tuu uamuzi wa DPP.
Naomba msiniulize lolote kuhusu hiyo reliable source from deep inside kwa mujibu wa kanuni ya kihabari iitwayo "the confidentiality of the source".
Umuhimu wa tip hii ni kukupatia tuu info wewe mwana jf be the first to know kwa kuwa wa kwanza kujua. Information is power, kitendo cha kujua kuna kesi kubwa 9 za ufisadi mkubwa ni power kubwa ya uthibitisho. kuwa serikali ya Magufuli iko very serious katika vita hii ya ufisadi na haitanii!.
My Take.
Msihamanike sana kudhania sasa ndio ile mikesi yote ya ufisadi mkubwa itaibuliwa. No. Kuna kesi za ufisadi za touchables na za untouchables. Zitakazo fikishwa mahakamani ni only za touchables, zile za untouchables zenyewe haziguswi!.
Pia kupandishwa kwa kesi mahakamani ni one thing thing, kushinda kesi is another na haki kutendeka is quite another thing!.
Mfano hai ni hii kesi ya kwanza kati ya hizo 9 iliyopandishwa mahakamani, serikali tayari imeishashi... kesi hata kabla kesi haijaanza kusikilizwa!.
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Stay tuned.
Paskali