Mtihani mkubwa sana huu.Dada zetu wa chuo hapa mjini Dsm nazungumzia vyuo vya Dar, wengi sahivi wanajiuza pale tips pesa yako tu unang’oa toto zuri unaenda piga dudu. Tips ni kiwanja kinachopendwa sana na wanachuo hapa mjin ukifika pale utashuhudia jinsi warembo walivyo rembuka. Utaweza shuhudia jinsi wadogo zetu wanavyo pretend maisha pale.
Inasikitisha sana sema ndo hvo ndo maisha tutafanya nini sasa get used to it
Yaani hali ilivyo hapana kwakweli inaogopesha.Ndo maisha haya
Si maeneo ya Morocco huku auKama unapajua kontena.. Au jack salad maeneo hayo.
Au Kabla hujafika shoppers plaza kwa
ndanindani hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
Si maeneo ya Morocco huku au
Khaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Ukiwa mshamba utaishia kuchnwa tu.. Na using'ate[emoji23][emoji23]Mbona hata wa maofisini wanajiuza kwa mabosi?.. Tabia ya mtu hataakiwa msomi vipi inakuwepo tu.
Lakini wengi wao huenda kula bata tu zile za kichuo chuo.. Sio wote wanajiuza!
Umalaya/kujiuza ni hulka ya mtu mkuu, uwe una/huna elimu, uwe na pesa au usiwe nayo kama una tabia za namna hiyo utafanya tu.Khaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Hiyo ni tabia ya mtu tu wengine sio kwamba ni shida bas tu anajikuta mwili unataka kufanya hvyo. Unashangaa wanafunzi huku wapo wafanyabiashara Na wanawake wenye uwezo mzur tu ila wanatafunwa na vitoto tena wakikoswa wapo tayar kumlipa men/boy for sexKhaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Sawa bhana ila sio vizuri.Umalaya/kujiuza ni hulka ya mtu mkuu, uwe una/huna elimu, uwe na pesa au usiwe nayo kama una tabia za namna hiyo utafanya tu.
Heeeeeh makubwa haya lol mweeeehHiyo ni tabia ya mtu tu wengine sio kwamba ni shida bas tu anajikuta mwili unataka kufanya hvyo. Unashangaa wanafunzi huku wapo wafanyabiashara Na wanawake wenye uwezo mzur tu ila wanatafunwa na vitoto tena wakikoswa wapo tayar kumlipa men/boy for sex
Duuuuuh aseeeeh inaogopesha mnoohMbona hata wa maofisini wanajiuza kwa mabosi?.. Tabia ya mtu hataakiwa msomi vipi inakuwepo tu.
Lakini wengi wao huenda kula bata tu zile za kichuo chuo.. Sio wote wanajiuza!
Ukiwa mshamba utaishia kuchnwa tu.. Na using'ate[emoji23][emoji23]
Hiyo ni tabia ya mtu tu wengine sio kwamba ni shida bas tu anajikuta mwili unataka kufanya hvyo. Unashangaa wanafunzi huku wapo wafanyabiashara Na wanawake wenye uwezo mzur tu ila wanatafunwa na vitoto tena wakikoswa wapo tayar kumlipa men/boy for sex
Hili ni kama tangazo la biashara ya Tips Bar au mimi ndio sielewi? 😎
NitakusindikizaWahuni sio watu wazuri hii ni zaidi ya connection [emoji23][emoji23][emoji23] barikiwa sana mzee wangu nitaenda nijione uumbaji wa Mungu mie lakini sitafanya chochote kwa hao warembo.
Nawezaje kwenda peke yangu sasa [emoji4] wakati situtaunganisha na ile promise [emoji39]Nitakusindikiza
Kwa haya majibu hata mtia nia itabidi ajipangeApiaa
Kwa haya majibu hata mtia nia itabidi ajipange