Tips lounge na dada zetu wa vyuo

Tips lounge na dada zetu wa vyuo

Dada zetu wa chuo hapa mjini Dsm nazungumzia vyuo vya Dar, wengi sahivi wanajiuza pale tips pesa yako tu unang’oa toto zuri unaenda piga dudu. Tips ni kiwanja kinachopendwa sana na wanachuo hapa mjin ukifika pale utashuhudia jinsi warembo walivyo rembuka. Utaweza shuhudia jinsi wadogo zetu wanavyo pretend maisha pale.

Inasikitisha sana sema ndo hvo ndo maisha tutafanya nini sasa get used to it
Mtihani mkubwa sana huu.
 
Mbona hata wa maofisini wanajiuza kwa mabosi?.. Tabia ya mtu hataakiwa msomi vipi inakuwepo tu.

Lakini wengi wao huenda kula bata tu zile za kichuo chuo.. Sio wote wanajiuza!
Khaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
 
Khaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Hiyo ni tabia ya mtu tu wengine sio kwamba ni shida bas tu anajikuta mwili unataka kufanya hvyo. Unashangaa wanafunzi huku wapo wafanyabiashara Na wanawake wenye uwezo mzur tu ila wanatafunwa na vitoto tena wakikoswa wapo tayar kumlipa men/boy for sex
 
Hiyo ni tabia ya mtu tu wengine sio kwamba ni shida bas tu anajikuta mwili unataka kufanya hvyo. Unashangaa wanafunzi huku wapo wafanyabiashara Na wanawake wenye uwezo mzur tu ila wanatafunwa na vitoto tena wakikoswa wapo tayar kumlipa men/boy for sex
Heeeeeh makubwa haya lol mweeeeh
 
Back
Top Bottom