Lol kuchagua hiyo vepeeeeh? Yaan mie maisha ya wanafunzi wa chuo yamenishinda tena hasa hapa jijini akuuuuh.
π Utawaambia nini sasa hapo wakati wenzako wanaona maisha washayapatia. Kashanunuliwa Iphone za makumbusho, chumba kapangiwa sinza, weekend yupo tips, kuna nini tena hapo???Lol kuchagua hiyo vepeeeeh? Yaan mie maisha ya wanafunzi wa chuo yamenishinda tena hasa hapa jijini akuuuuh.
Yees ijumaa twende na sisi tukajionee yanayosemwa hapa kama ni kweliπNawezaje kwenda peke yangu sasa [emoji4] wakati situtaunganisha na ile promise [emoji39]
Kuna namna unaandikaga hua wanifrahisha tuLol kuchagua hiyo vepeeeeh? Yaan mie maisha ya wanafunzi wa chuo yamenishinda tena hasa hapa jijini akuuuuh.
Uwiiiiiiiih nina rafiki zangu wawili ndio maisha yao yapo hivyo, afu vibopa wao wenyewe wanaonesha kabisa Luku ipo mwilin, yaan mbaya zaidi na chuon wanao wavulan wengne [emoji24][emoji24][emoji24][emoji28] Utawaambia nini sasa hapo wakati wenzako wanaona maisha washayapatia. Kashanunuliwa Iphone za makumbusho, chumba kapangiwa sinza, weekend yupo tips, kuna nini tena hapo???
Uwiiiiiiiih bas endelea ku enjoy dea, waleleeeeeeeeehKuna namna unaandikaga hua wanifrahisha tu
Mji mzito huu mpwa, ile "orodha" ni ngumu sana kuiepuka, maisha mazuri yanawaponza sana dada zetu.Uwiiiiiiiih nina rafiki zangu wawili ndio maisha yao yapo hivyo, afu vibopa wao wenyewe wanaonesha kabisa Luku ipo mwilin, yaan mbaya zaidi na chuon wanao wavulan wengne [emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji28] Utawaambia nini sasa hapo wakati wenzako wanaona maisha washayapatia. Kashanunuliwa Iphone za makumbusho, chumba kapangiwa sinza, weekend yupo tips, kuna nini tena hapo???
Hapana sometimes na hawa wazee wajitambue, hizo pesa zao wanunue vyakula na matunda au wakanywee pombe, kwan lazima wawarubuni watoto teenager? Aaaah wanakera bhana khaaaah.Mji mzito huu mpwa, ile "orodha" ni ngumu sana kuiepuka, maisha mazuri yanawaponza sana dada zetu.
π Mungu alituweza sanaa kuuweka huu ugonjwa sehemu mbayaa hivii, ebu ona wale wa toto wa kidimbwi pale, fanya kama unakuja tips hivi...., kupona ni ngumu sana chief, Mungu atuongoze tu.Watoto kama watoto wapo pale asee uwiii tutapona kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]Kwani hizo pesa wana shikishwa kwa lazima mkuu??Hapana sometimes na hawa wazee wajitambue, hizo pesa zao wanunue vyakula na matunda au wakanywee pombe, kwan lazima wawarubuni watoto teenager? Aaaah wanakera bhana khaaaah.
Mm ni nani nikatake unachosema lazima tuende Ijumaa hiyo πYees ijumaa twende na sisi tukajionee yanayosemwa hapa kama ni kweliπ
Hata km ifike mahali hawa wazee wawe na busara na hofu ya Mungu, hizo pesa zao hazina thamani kuliko utu wa watoto hawa teenager, wanachosha kwakweli hali n mbaya kabisaa wao muda wao umeisha wawpishe wengine wafurahie wakati wao. Kila mtu ashinde match zake ama neneeeh, damon lol[emoji3][emoji3]Kwani hizo pesa wana shikishwa kwa lazima mkuu??
Hahaa comment yako hii nimecheka sanaNi kabla ya kipindi cha Yesu. Tena makahaba yalikuwa yanakaa kwenye lango la jiji na manabii walikuwa wanawagonga wakati mwingine
Kwani hali ipoje mtoto mzuriYaani hali ilivyo hapana kwakweli inaogopesha.
Aaaah acha wauzeeeeKhaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Hawa wazee wajishikilie na utu uzima walio nao, wanahatarisha usalama wa kizazi chetu, mxieeeeeeeeew zao.Kwani hali ipoje mtoto mzuri
cocastic Hivi unafikiri hao mabinti wanajutia wanachokifanya?? Trust me they're living their best life ever, wanaenjoy wanachokifanya tena thubutu ujifanye kuwajuajua uanze kupreach, utajua hujui πππHata km ifike mahali hawa wazee wawe na busara na hofu ya Mungu, hizo pesa zao hazina thamani kuliko utu wa watoto hawa teenager, wanachosha kwakweli hali n mbaya kabisaa wao muda wao umeisha wawpishe wengine wafurahie wakati wao. Kila mtu ashinde match zake ama neneeeh, damon lol
Wauze hiyo kwioooooh? Uwiiiiiiiih leo nmechukia sana aaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Aaaah acha wauzeeee
California love