jomasi0002
Member
- Apr 3, 2018
- 45
- 24
Habari za muda huu wanajamii forum. Nia na madhumuni ya Uzi huu kujua au kutambua sababu zinazo pelekea wanawake au wanaume wachelewe kuolewa au kuoa.
Karibuni sana
Karibuni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokana na mazoea ktk jamii zetu Mara nyingi watu wengi huwa wanaoa au kuolewa kati ya miaka 20's mpaka 30, ikizidi hapo huwa tunaanza kuhusisha mhusika kua amechelewa kuoa au kuolewaKuchelewa inakua ni umri gani, na umri gani ndio sahihi kuoa?
Tukifuata sheria miaka kuanzia miaka 18 kijana anaruhusiwa kuoa au kuolewaKuchelewa inakua ni umri gani, na umri gani ndio sahihi kuoa?
Umri huo unaotaja vijana wengi wanakua wapo katika masomo bado hawajaanza kabisa kujitegemea,Tukifuata sheria miaka kuanzia miaka 18 kijana anaruhusiwa kuoa au kuolewa
Sija fix umri kwenye ayo maelezo nimesema neno KUANZIAUmri huo unaotaja vijana wengi wanakua wapo katika masomo bado hawajaanza kabisa kujitegemea,
Wazazi pia wamejawa na tamaa wanataka mahali kubwa kuliko nguvu ya kijana anaetaka kuoa, hivyo vijana wengi huogopa kuingia madeni ya ukweni.
Mabinti nao wanataka ndoa za kifahari ya gharama kubwa hivyo kumfanya kijana asogeze tarehe mbele kila akifikilia kuoa.
NB hapa ni vijana wa mijini.
Vijijini hakuna mambo mengi
We ndugu habari za siku!!Upatikanaji wa papuchi umekuwa rahisi sana tofauti na zamani
Upatikanaji wa papuchi umekuwa rahisi sana tofauti na zamani