Tiririka hapa sababu zinazofanya mwanaume/mwanamke achelewe kuoa au kuolewa

Tiririka hapa sababu zinazofanya mwanaume/mwanamke achelewe kuoa au kuolewa

Mimi binafsi ni malengo niliyojiwekea na maisha ninayotaka kuishi kwenye ndoa.

Nilisema
1. Sioi bila kuwa na kwangu
2. Sikai kwenye nyumba ya kupanga, either nizeekee nyumbani kwa wazazi ama niwe na kwangu.
3. Sitaki mtoto wa nje ya ndoa.
4. Sioi nikiwa bado nimeajiriwa.
5. Nikioa ni spend muda mrefu na mzuri na familia yangu badala ya kuamka kila siku kukimbizana kutafuta hela ya kula na kodi.

Hayo ni ma sharti niliyojiwekea yaliyo shape maisha yangu.

Thank God nimetoka kwenye ajira na nina kampuni yangu. Najenga nyumba ya ghorofa na inakaribia kuisha.
Hayo masharti ndiyo yamenisukuma kufika hapa nilipo. Hope kabla ya uchaguzi 2020 nitakuwa ndani ya ndoa.
Ndoto yako ikiisha utaamka
 
Ndoto yako ikiisha utaamka
Wewe ambaye umeamka una nini ambacho sitokipata kesho? Una nini ambacho sikipati now?
Wewe kaa na maisha yako na mipango yako, mimi nipo na maisha yangu na mipango yangu.
Tusitishane bwana... Ebo eti "Ndoto yako ikiisha utaamka"
 
Wewe ambaye umeamka una nini ambacho sitokipata kesho? Una nini ambacho sikipati now?
Wewe kaa na maisha yako na mipango yako, mimi nipo na maisha yangu na mipango yangu.
Tusitishane bwana... Ebo eti "Ndoto yako ikiisha utaamka"
Wenye kampuni sio watu wakujitapatapa ivyo
 
Wenye kampuni sio watu wakujitapatapa ivyo
Endelea kubwabwaja

Hidden photos

Nadhani picha uliziona. Kama ulivyosema, Wenye makampuni siyo watu wa kujitapatapa.
Nimezi hide. Sihitaji JF nzima ijue na kampuni gani.
Point Made.
 
Mimi binafsi ni malengo niliyojiwekea na maisha ninayotaka kuishi kwenye ndoa.

Nilisema
1. Sioi bila kuwa na kwangu
2. Sikai kwenye nyumba ya kupanga, either nizeekee nyumbani kwa wazazi ama niwe na kwangu.
3. Sitaki mtoto wa nje ya ndoa.
4. Sioi nikiwa bado nimeajiriwa.
5. Nikioa ni spend muda mrefu na mzuri na familia yangu badala ya kuamka kila siku kukimbizana kutafuta hela ya kula na kodi.

Hayo ni ma sharti niliyojiwekea yaliyo shape maisha yangu.

Thank God nimetoka kwenye ajira na nina kampuni yangu. Najenga nyumba ya ghorofa na inakaribia kuisha.
Hayo masharti ndiyo yamenisukuma kufika hapa nilipo. Hope kabla ya uchaguzi 2020 nitakuwa ndani ya ndoa.
Kwahio sasa hivi umeatoka kwenye ajira, una kampuni na bado uko kwa wazazi unamalizia ghorofa?!
 
Watu wa naogopa kuoa ni kwa ajili ya kukwepa majukumu

Binafsi sioi mpaka nifike miaka 30 hayo ndyo malengo yangu
Ukifika miaka 30 utasema acha nimalizie nyumba ukimaloza nyumba utakuja na sijapata nnaemtaka nk nk nk hamadiii umekua field marshall kama RRONDO hahha lol
 
Mimi binafsi ni malengo niliyojiwekea na maisha ninayotaka kuishi kwenye ndoa.

Nilisema
1. Sioi bila kuwa na kwangu
2. Sikai kwenye nyumba ya kupanga, either nizeekee nyumbani kwa wazazi ama niwe na kwangu.
3. Sitaki mtoto wa nje ya ndoa.
4. Sioi nikiwa bado nimeajiriwa.
5. Nikioa ni spend muda mrefu na mzuri na familia yangu badala ya kuamka kila siku kukimbizana kutafuta hela ya kula na kodi.

Hayo ni ma sharti niliyojiwekea yaliyo shape maisha yangu.

Thank God nimetoka kwenye ajira na nina kampuni yangu. Najenga nyumba ya ghorofa na inakaribia kuisha.
Hayo masharti ndiyo yamenisukuma kufika hapa nilipo. Hope kabla ya uchaguzi 2020 nitakuwa ndani ya ndoa.
Hongera...girlfriend unae?.mana isijekua unasubiri hadi bungaloww liishepo
 
Ukitaka kuufaudu ubachelor uwe na malengo ya pesa halafu usiwe na presha ya kuoa wala usibabaike nao yaani mpaka watakutongoza hapo ndio utajua kuna watu wanatafuta kuolewa kwa udi na uvumba.
 
Uchelewaji wa mwanamke.

* kudanga

* kuchagua wa kumuoa

* kuchambua size ya uume.

* kutesti dildo

* kusagana

* viben 10

* kuchubua papa na carolite ili iwe nyeupe.

[emoji23] [emoji1] [emoji13]

( please ladies forgive me, am smoking cannabis this time )
 
mimi nachelewa kwa sababu nyumbani bado wananiona mdogo japo najiona mkubwa, kingine ni hali ya kimaisha binafsi nakuwa nasita sana, cha mwisho hata mi nachagua sana nahis hizi ndio sababu muhimu sana kwangu.
 
Tutokupata mwenza wa uhakika (siku izi watu wanaoa na kuolewa ili wawaridhishe wazazi na marafiki zao kuliko wao wenyewe kwa hiyo ukiwa haujajiimarisha vizuri na pia hali ya kipato siyo stable unakuwa haumuamasishi mtu kukuoa au kuolewa (vijana wengi kutokana na kuwa na kipato kidogo anaona akioa anakigawa kile kipato chake na unakuta kuna mambo mengi ya msingi kimaisha ajakamilisha. Unadhani kijana especially wa mjini aliyepanga chumba kimoja anaeeza akawa na usubutu wa kuoa )
 
Back
Top Bottom