Tiririka hapa sababu zinazofanya mwanaume/mwanamke achelewe kuoa au kuolewa

Tiririka hapa sababu zinazofanya mwanaume/mwanamke achelewe kuoa au kuolewa

Wanaume wengi wanachelewa kuoa kutokana na moja ya sababu hizi;

-Uoga
-Mabinti wengi hawapo tayari kuolewa
-Dhana potofu ya kujipanga kimaisha
-Mahari kubwa

Hapo kwenye kujipanga kimaisha naiita dhana potofu sababu maisha yapo tayari hayaitaji hayo mengine ili yawe maisha, ikumbukwe unaweza oa na kazi kesho ukatumbuliwa kazini, unaweza kuwa na biashara ila ukaoa tu na kufilisika.

Vijana aoneni.
 
Kwa upande wangu nilichelewa kuoa kwa sababu;
1. Nilichelewa kupata kazi
2. Nilikuwa sijajipanga kabla ya kuwa na kazi.
3. Sijapata wa malengo
4. Umri ulikuwa bado unaruhusu (30 yrs natimiza July )
5. Sasa ni muda muafaka kwangu, mwaka huu wangu. Nikimpata wakuwa naye sicheleweshi.
 
Namtaka mzunguu halafu pia tukiacha matani walio chelewa asilimia kubwa ni wasomi wenye kutaka maisha yao ya baadae yawe mazuri watoto wasiteseke.
Wengine hawajajipanga tu.
Wengine hawataki.
Wengine hawajaona
Nakunawengine bado hawataki kutoka katika ubachela?
Wengine bado wanamajukumu mengi wakishasettle yakawa sawa wanaoa au kuolewa.
 
Habari za muda huu wanajamii forum. Nia na madhumuni ya Uzi huu kujua au kutambua sababu zinazo pelekea wanawake au wanaume wachelewe kuolewa au kuoa.
Karibuni sana

KAMA UNAUHAKIKA WA KUPATA MAZIWA, YANINI UFUGE NG'OMBE
 
Wanawake siku hizi hawaeleweki kabisaaaa hata kidogo na wote malaya tu...
 
Nilitaka kuowa mwezi ujao nimekuja kufahamu mke mtarajiwa alikuwa analiwa na mwanaume mwingine pembeni
 
Kwa upande wangu nilichelewa kuoa kwa sababu;
1. Nilichelewa kupata kazi
2. Nilikuwa sijajipanga kabla ya kuwa na kazi.
3. Sijapata wa malengo
4. Umri ulikuwa bado unaruhusu (30 yrs natimiza July )
5. Sasa ni muda muafaka kwangu, mwaka huu wangu. Nikimpata wakuwa naye sicheleweshi.
kweli mkuu wowa sasa
 
Back
Top Bottom