Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Nilikuwa napenda sana kusikiliza hotuba na mawaidha yake. Alikuwa na busara na hekma sana yule Mzee.

Hivi ntapata wapi rekodi za hotuba zake huyu Mufti Kiongozi...?
 
N
uongozi sio elimu tu bali busara, maarifa, hekma na uadalifu, mbona tunaongozwa na madokta lakini utadhani mangumbalu? jitathimini
Ndicho waislam mnachokosea, dunia ya sasa si yakujifungia na Quran tu, yapasa msome na vitu vingine, ili muweze kuendana na hali ilivyo na changamoto zilizopo,
Ndo mana aya ya kwanza ktk inasema "Iqra bismirabbi kaladh kharaka"= soma kwa jina la mola wako.

Kwahiyo ata usome theology, philosophy, computer science, medicine.

Soma vyote kwa ajili ya kukufanya umfaham na umuabudu mola vizuri,na kma sheikh ujue changamoto na dunia ilivyo ili hata unapoongoza unakua up to date. Sasa tatizo

Quran hamuijui na secura hamuijui. Ni mvurugano tu.

All in all wape hai bakwata
 
N

Ndicho waislam mnachokosea, dunia ya sasa si yakujifungia na Quran tu, yapasa msome na vitu vingine, ili muweze kuendana na hali ilivyo na changamoto zilizopo,
Ndo mana aya ya kwanza ktk inasema "Iqra bismirabbi kaladh kharaka"= soma kwa jina la mola wako.

Kwahiyo ata usome theology, philosophy, computer science, medicine.

Soma vyote kwa ajili ya kukufanya umfaham na umuabudu mola vizuri,na kma sheikh ujue changamoto na dunia ilivyo ili hata unapoongoza unakua up to date. Sasa tatizo

Quran hamuijui na secura hamuijui. Ni mvurugano tu.

All in all wape hai bakwata

yaani una conclude vipi unaposema quran hamjui na elimu dunia hamjui, una takwimu zozote zinazonyesha waislam hawajui chochote au unaropoka tu? mbona waislam ndio wana ongoza kwa busara karibu sekta nying kuliko nyie wagalatia mnaosema hamjaleta nyie tetemeko, wala hamjaleta nyie njaa? nasisitiza tena elimu bila busara si elimu wasomi wote lazima wawe na weredi na busara pia
 
pollen sana waislaam wenzangu wenye iman na chombo hk na km munategemea maendeleo ktk din kwa kutegemea chombo HK bac uislaam wenyewe ndo kwisha!
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kazi kazi
 
Duh yamekuwa hayo tena?
Nakumbuka wakati ule mufti huyu alipochaguliwa waumini waalishangilia sana kwa kuruka ruka na kucheza kwa furaha na waliohojiwa walikuwa wakimsifu sana wakisema safari hii bakwata wamempata mufti wa ukweli, sasa mambo yamebadilika tena...!
 
“Wanakula njama” hivyo hichi chakula kinapikwa kwa kutumia malighafi gani?
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Subhana Allah,kweli shekh alifumaniwa?
 
Duh yamekuwa hayo tena?
Nakumbuka wakati ule mufti huyu alipochaguliwa waumini waalishangilia sana kwa kuruka ruka na kucheza kwa furaha na waliohojiwa walikuwa wakimsifu sana wakisema safari hii bakwata wamempata mufti wa ukweli, sasa mambo yamebadilika tena...!
Kama yule mzee Jongwe 93 kushangilia alipoingia na alivyotoka full shangwe
 
Pamoja na kuwa source ni Tina.., ila hili Baraza la Kuwahadaa Waislamu inabidi livunjwe na kiundwe Chombo thabiti kitakachosimamia Masilahi na Mali za Waislamu..,
 
Kama mrithi wake hajaandaliwa- na wale waliomsimika basi wasahau huyo mtu kutoka,hawawezi ruhusu wakina Sheikh Ponda waongoze BAKWATA!!!
Sheikh Ponda kuongoza Bakwata?!! Litakuwa ajabu lingine la dunia
 
Back
Top Bottom