Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Bakwata ni wababaishaji ndo maana yanawakuta yote hayo, wacha watoane macho kwanza. Allah ameamua kuwadhalilisha
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Kumbe kwny kuhiji kuna mengi eeh..!
 
Bakwata hela ya kulipa mishahara waitoe wapi?

Kuna jamaa mmoja alitaka kujitolea kuwajengea msikiti, shule na hospitali ila akatoa sharti kuwa matumizi ya pesa wakat wa ujenz atasmamia mwenyewe. Bakwata walikataa walitaka hela ipitie kwao, jamaa akaghairi kwa kuwa anawajua ni wabadhirifu

Hakuna shaka kuwa miundombinu ming ya bakwata ni duni ingawa misaada ming wanapewa lakn inaishia mifukon wa wachumia tumbo.
 
Uchaguzi ungekua unasimamia misingi ya dini Zuberi asingepenya, sisi pia madokta na ma prof. wapo wenye elimu zote lakini sababu ni tawi la chama viongozi watakua wakina Alhad, mwenzako anaokota uchafu na kuweka kwenye pipa wewe unaselfika,
Kwa wenzetu utasikia dokta nani , dokta nani ndio viongozi
Kuwa genuine "wenzetu wap" tafadhari kuna jambo nifamishwe
 
MUOGOPE MUNGU SANA,
UNAMSINGIZIA MAITI HUOGOPI WEWE,
KOSA KUMSINGIZIA ALOKUWA HAI, JEE HUYU ALOKUWA MAITI JEE?
VIPI UTAMUOMBA MSAMAHAN WAKATI HAYUPO TENA, USIWE UNAFANYA MAMBO KWA KUFURAHISHA NAFSI AU KWA AJILI YA CHUKI NI HATARI ZAIDI.
NA HATARI ZAIDI YA KUWA ULIPOMSINGIZIA NI PAHALI PATAKATIFU AMBAPO WAISLAM WOTE WANAKUTANA KUTIMIZA NGUZO YA TANO PAMOJA NA KUMUOMBA ALLAAH AWASAMEHE MADHAMBI YAO.
LEO UNAKUJA KUSEMA YA KUWA MUFTI KAZINI! HATA ANGEKUWA SI MUFTI, MTU YOYOTE YULE HAUWEZI KUMSEMEA KOSA HILO.
JEE WAJUA YA KUWA KATIKA UISLAM KUMSINGIZIA MTU ZINAA, ADHABU YAKE NI KUPIGWA FIMBO THAMANINI?
LAITI HUKUMU YA ALLAAH INGEKUWA INATUMIKA BASI WEWE SASA HIVI NI KUHUKUMIWA FIMBO HIZO, NA BORA ZAIDI KUPATA HIYO HUKUMU KULIKO ADHABU AMBAYO ALLAAH ATAKUTIA KATIKA MAISHA YAKO YOTE YA HAPA DUNIANI NA KABURINI NA MPAKA KUKUFULIWA.
KWA HILI HUNA MSAMAHA MPAKA UMUOMBE MWENYEWE SAMAHANI, SASA SIJUI UMEJITAYARISHA VIPI KUSIMAMA MBELE YA ALLAAH NA KUMPA HOJA YA KUWA KWA NINI ULISEMA HIVI, NA PIA SIJUI ULOMSINGIZIA HATA HIYO SIKU YA SIKU ATAKUWA MWENYE KUKUSAMEHE.
NOTE:
MUFTI SIMBA SIMJUI NAMSIKIA TUU, ILA NIMESEMA HAYA KWA YOYOTE YULE ANAEMSINGIZIA MTU UONGO, UWE WOWOTE ULE, AJITAYARISHE MAKAAZI YAKE MOTONI
Weyeee....slow down kidogo tubonge !!!
 
Uzuri na ubaya wa Uislam ndio huo? Hakuna ukiritimba na hakuna aliyembira zaidi ya mwenzie. Wangemchapa bakora kabla ya kuendelea na mengine.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa jamaa huwa nawakubali kwa hilo. Hawataki longolongo.
 
Jiulizeni mkimtoa mufti mtamuweka nani kwenye hicho kiti ? Mnae mbadala kweli au mnadhani sheikh fulani mpenda majungu ataweza ??
 
Kuna kitu hamjagundua.BAKWATA inasambaratishwa kimakusudi . Wafanyaka...hawalipwi....shule zinakufa.......hili hamjaliona ??
 
N

Ndicho waislam mnachokosea, dunia ya sasa si yakujifungia na Quran tu, yapasa msome na vitu vingine, ili muweze kuendana na hali ilivyo na changamoto zilizopo,
Ndo mana aya ya kwanza ktk inasema "Iqra bismirabbi kaladh kharaka"= soma kwa jina la mola wako.

Kwahiyo ata usome theology, philosophy, computer science, medicine.

Soma vyote kwa ajili ya kukufanya umfaham na umuabudu mola vizuri,na kma sheikh ujue changamoto na dunia ilivyo ili hata unapoongoza unakua up to date. Sasa tatizo

Quran hamuijui na secura hamuijui. Ni mvurugano tu.

All in all wape hai bakwata
Usipotukanwa utakuwa na bahati sana.
 
yaani una conclude vipi unaposema quran hamjui na elimu dunia hamjui, una takwimu zozote zinazonyesha waislam hawajui chochote au unaropoka tu? mbona waislam ndio wana ongoza kwa busara karibu sekta nying kuliko nyie wagalatia mnaosema hamjaleta nyie tetemeko, wala hamjaleta nyie njaa? nasisitiza tena elimu bila busara si elimu wasomi wote lazima wawe na weredi na busara pia


Bas endeleeni na Ilmu Akhera kwasababu hata Muddy pia hakujua kusoma wala kuandika ila akakuombeni ninyi Waumi'nin mumuabudu Mnyaaaz mungu na yeye mtume wake.


Wabillah Tawfiq,
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
duh mzee si alikuwa na kisukari na mguu alikatwaa nafikiri! kumbe mashine inasimama......
ila kama kwenye hijja viongozi wanafanya hivyo ,vp kwa waumini inakuwaje maana hii kashfa ni kubwa sana kwa marehemu
 
Pamoja na kuwa source ni Tina.., ila hili Baraza la Kuwahadaa Waislamu inabidi livunjwe na kiundwe Chombo thabiti kitakachosimamia Masilahi na Mali za Waislamu..,
Unaijua BALUKTA?
 
Ewe mfuasi wa Muddy punguza munkar bas...[emoji23]

Bas endeleeni na Ilmu Akhera kwasababu hata Muddy pia hakujua kusoma wala kuandika ila akakuombeni ninyi Waumi'nin mumuabudu Mnyaaaz mungu na yeye mtume wake.


Wabillah Tawfiq,

ndio dalili ya mtu aliyeshindwa hoja basi ukimbilia kuhamisha hoja, elimu ni elimu tu mradi unaitumia vile ambavyo inapaswa kutumika, kuwa na phd sio suluhisho la kuwa kiongozi bora.
 
duh mzee si alikuwa na kisukari na mguu alikatwaa nafikiri! kumbe mashine inasimama......
ila kama kwenye hijja viongozi wanafanya hivyo ,vp kwa waumini inakuwaje maana hii kashfa ni kubwa sana kwa marehemu

huyu jamaa aisee sijui alimuona huyo marehem au anakula maiti
 
Kwa Kuwa BAKWATA ni taasisi ya waislamu hivyo hakuna budi litakalosemwa kuhusu taasis hiyo litawahusu waislamu, na kwa kuwa waislamu wana mafundisho yao hawana budi kuyafuata. Miongoni mwa mafundisho yao katika tasnia ya habari hii aya ya Kurani ni muhimu sana,
"يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن جَاءَكُمْ فَاسِقٌ بِنَبَإٍ فَتَبَيَّنُوا أَن تُصِيبُوا قَوْمًا بِجَهَالَةٍ فَتُصْبِحُوا عَلَىٰ مَا فَعَلْتُمْ نَادِمِينَ "

" Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu na khabari yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kuto jua, na mkawa tena wenye kujuta kwa mliyo yatenda." Kurani 49/6.
Hivyo basi tuna haja ya kujuzwa kutoka katika chanzo chenye kuaminika ili habari iwe ya kweli, kama si hivyo tutakuwa tunajenga fikra za dhana potofu juu ya wasiyokuwa na hatia.
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Umeanza vizuri,lakini mwisho umeharibu,kwa kumsingizia,asiyokuwa nayo.
 
Back
Top Bottom