Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Bakwata ni taasisi kubwa haiwezi kuyumbishwa na mtu mmoja. habari yako haina mashiko.
 
hawataki waislam wawe na umoja na maendeleo,inadaiwa huko nyuma(1992) katoliki walitoa hela ya mkutano wa bakwata..bakwata hawakuwa na kitu...yalifanyika mapinduzi bakwata miaka ya 90 mwanzoni..serikali ikamwaga FFU kuyazuwia
hawathubutu kuacha km chombo guru cha waislam coz wanajua walianzisha chombo hcho kwa lengo kuu na oda zote na mipango ya bakwata yapo chin ya uangaliz wa kanisa katolik.
 
Huyu Mzee ana-commnd respect ya hali ya juu mno ndani ya Jumuia ya Kiislamu na hata nje pia, ikiwemo serikali pamoja na vyombo vyake vyote. Wakati wa mchakato wa uchaguzi, wagombea walijitoa ili kumuachia nafasi hiyo abaki peke yake. Nashauri kama kuna chochote muwe mnakijadili ndani kwanza kabla hamjakileta huku nje kwenye mitandao ya jamii. Watu wanamuheshimu na kumpenda mno huyu mzee na wasingependa kusikia habari ambazo pengine ni tetesi tu juu yake.
 
bakwata ni taaasisi na haisimami kwa waumini wote wa kiislam, wao wanafwata itikadi za Sufi ambao suna wameziweka mfukoni, kufanya shura za mambo yao mmmmhh lazma utaona kinachoendela, Allah awafanyie wepesi wafwate sunna sahihi za Mtume Muhammad(saw)
 
Habari ya Uzinzi ni ngumu sana kuisema kwani huruhusiwi kutoa ushahidi mpaka uwe umejionea kwa macho yako mwenyewe (necked eye)
Kwa kuongezea, mashuhuda wa zinaa kwa sheria ya kiislamu ni lazima wawe 4 waliyoona kwa macho (naked eyes) kuwa hao wazinifu wanafanya hilo tendo, na ushahidi wao uwe sawa bila ya kutofautiana kinyume cha hapo mashahidi watachapwa viboko 80 na hawataweza kuaminiwa kwa ushahidi wowote baada ya hapo.
 
Habari ya Uzinzi ni ngumu sana kuisema kwani huruhusiwi kutoa ushahidi mpaka uwe umejionea kwa macho yako mwenyewe (necked eye)
Ndg.imesemwa ilionekana wake zake wanamchapa/ wanampa kipigo marehemu
 
bakwata ni taaasisi na haisimami kwa waumini wote wa kiislam, wao wanafwata itikadi za Sufi ambao suna wameziweka mfukoni, kufanya shura za mambo yao mmmmhh lazma utaona kinachoendela, Allah awafanyie wepesi wafwate sunna sahihi za Mtume Muhammad(saw)
umenena kwel MKUU
 
Kuna watu humu badala ya kujenga hoja ndio kwanza wanakimbilia kwenye udini na kukashifu dini za watu, mara sijui kitabu flani kinasema hivi bila hata kujua maana ya andiko lenyewe linasema nini....Mnaofanya hivyo muogopeni sana Mwenyezi Mungu kwani anayaona mnayoyafanya.....na lau mngelikuwa mnalijua hilo msingethubutu kufanya hivyo.
 
Hali si shwari ndani ya Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) na sasa kundi la viongozi ndani ya baraza hilo wanakula njama za kumuondoa kiongozi wao makini Mufti Zubeir.

Hali hiyo inakuja huku Zaidi ya miezi miwili Bakwata haina ofisi na Zaidi ya wafanyakazi 50 wa Bakwata Makao Makuu hawajalipwa mishahara yao kwa Zaidi miezi kumi na moja(11).

Kadhaloka zaidi ya walimu kumi na tano wa shule ya Bondeni Arusha hajalipwa mishahara yao ,na huku Baraza lote la Masheikh la mkoa wa Katavi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa Katavi kujiuzulu kutokana na kutokuwa na IMANI na mufti zuberi.

Tayari zipo taarifa sasa za kuandaliwa mpango wa kuondolewa madarakani mufti kutokana kile kinachodaiwa kwamba ni kushindwa kuongoza Bakwata na ubadhilifu mkubwa wa mali za Bakwata uliofanywa na mufti na ndugu zake wa karibu.

Wajumbe kadhaa wa Baraza la masheikh Taifa wanajiandaa kutumia katiba ya Bakwata kumuengua mufti katika nafasi yake ya umufti kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Wakati wajumbe wengine kumi wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kutokuwa na Imani na mufti katika kikao kijacho ili kutoa nafasi ya mufti kujiuzulu kabla hawajatoa taarifa za siri za ubadhilifu mkuu wanaoujua wajumbe hao dhidi ya mufti.

Wakati huo huo viongozi wa Bakwata toka mikoa mitano,wanajiandalia kujiuzulu kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya mufti Zuberi. Vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na mufti zuberi kuingoza bakwata kwa miaka miwili sasa bila muelekeo wowote,huku vitendo vya ubadhilifu,ubinafsishaji wa mali za bakwata na ubabaishaji kushika kasi na ndugu wa mufti kupewa kipaumbele bila kuzingatia katiba ya Bakwata.
Mi nlikua nauliza,
Taasisi zingine za CCM kama Jumuia ya Wazazi, Umoja wa Vijana, Umoja wa Wanawake wamefanya Uchaguzi wao kipindi hiki, mbona hawa Bakwata wamesahaulika kwenye hizi chaguzi??
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Anafumaniwa ktk hija, kwani huyo shehe alikuwa na mke mmoja?
 
Ndg.imesemwa ilionekana wake zake wanamchapa/ wanampa kipigo marehemu
MTU mwenye kisukari anaweza kutia bna wewe!!?..mtu aache kutiana huku akatie Makkah!!?..kilichosikika ni mke wake kugombea tenda ya kubeba mizigo ya mahujaj
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Nasikia sifa kuu,ni idadi ya majini unayomiliki.
 
Back
Top Bottom