Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Ilim sio kigezo cha kuwa Mufti, kama ingekuwa hivyo LPUMBA ashakuwa Raisi wa nchi hii.
Elimu ina umuhimu sana katika uongozi hata katika Dini.

Baada ya Elimu hizo sifa zingine kuwepo ni vizuri sana.

Suala la kuona kuwa Elimu si muhimu katika uongozi wa BAKWATA ni kitu kitakachozidi kuwarudisha nyuma Waislam.

Ni ushauri tu.
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
duuuuhhh hii noma wallahi...bora kula Kitimoto hata kwasiku moja kuliko alichokifnya Huyo sijui SHEkhe...duuuhh kaenda hijja halafu kwakutwa juu yakinembe ....loooohhhhh

mimi ndio maana mambo ya dini dini hizi huwa sifungamani NAyo aiseeeee
 
yaani una conclude vipi unaposema quran hamjui na elimu dunia hamjui, una takwimu zozote zinazonyesha waislam hawajui chochote au unaropoka tu? mbona waislam ndio wana ongoza kwa busara karibu sekta nying kuliko nyie wagalatia mnaosema hamjaleta nyie tetemeko, wala hamjaleta nyie njaa? nasisitiza tena elimu bila busara si elimu wasomi wote lazima wawe na weredi na busara pia
Wasema una busara ... well and good .... but post yako imejaa VIJEMBE hasa kwa IMANI NYINGINE ... how can you call your fellows WAGALATIA .... who are they by the way?
 
Wasema una busara ... well and good .... but post yako imejaa VIJEMBE hasa kwa IMANI NYINGINE ... how can you call your fellows WAGALATIA .... who are they by the way?

are you serious that you doknow who are galatians??
 
Anatafutwa wa kanda ileeee, ila sidhani kama wapo waliobobea katika ilim ahera kiviiile!!!
 
are you serious that you doknow who are galatians??
Yes I'm serious and I know exactly who Galatians are .... but Galatians don't exist .... For the way I see you meant Galatians and Christians are the same ....
 
hawathubutu kuacha km chombo guru cha waislam coz wanajua walianzisha chombo hcho kwa lengo kuu na oda zote na mipango ya bakwata yapo chin ya uangaliz wa kanisa katolik.
Umenena!
 
Kwa kuongezea, mashuhuda wa zinaa kwa sheria ya kiislamu ni lazima wawe 4 waliyoona kwa macho (naked eyes) kuwa hao wazinifu wanafanya hilo tendo, na ushahidi wao uwe sawa bila ya kutofautiana kinyume cha hapo mashahidi watachapwa viboko 80 na hawataweza kuaminiwa kwa ushahidi wowote baada ya hapo.
Sawasawa kabisa
 
Hao wanaotaka kumuondoa wameshauriana na serikali?
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
...Astakafirulah!!!
 
Hali si shwari ndani ya Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) na sasa kundi la viongozi ndani ya baraza hilo wanakula njama za kumuondoa kiongozi wao makini Mufti Zubeir.

Hali hiyo inakuja huku zaidi ya miezi miwili Bakwata haina ofisi na zaidi ya wafanyakazi 50 wa Bakwata Makao Makuu hawajalipwa mishahara yao kwa zaidi miezi kumi na moja(11).

Kadhalika zaidi ya walimu kumi na tano wa shule ya Bondeni Arusha hajalipwa mishahara yao, na huku Baraza lote la Masheikh la mkoa wa Katavi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa Katavi kujiuzulu kutokana na kutokuwa na IMANI na mufti zuberi.

Tayari zipo taarifa sasa za kuandaliwa mpango wa kuondolewa madarakani mufti kutokana kile kinachodaiwa kwamba ni kushindwa kuongoza Bakwata na ubadhirifu mkubwa wa mali za Bakwata uliofanywa na mufti na ndugu zake wa karibu.

Wajumbe kadhaa wa Baraza la masheikh Taifa wanajiandaa kutumia katiba ya Bakwata kumuengua mufti katika nafasi yake ya umufti kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Wakati wajumbe wengine kumi wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kutokuwa na Imani na mufti katika kikao kijacho ili kutoa nafasi ya mufti kujiuzulu kabla hawajatoa taarifa za siri za ubadhilifu mkuu wanaoujua wajumbe hao dhidi ya mufti.

Wakati huo huo viongozi wa Bakwata toka mikoa mitano, wanajiandalia kujiuzulu kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya mufti Zuberi. Vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na mufti Zuberi kuingiza Bakwata kwa miaka miwili sasa bila muelekeo wowote, huku vitendo vya ubadhirifu, ubinafsishaji wa mali za bakwata na ubabaishaji kushika kasi na ndugu wa mufti kupewa kipaumbele bila kuzingatia katiba ya Bakwata.

Tena wafanye haraka sana kumtoa. Mufti wa sasa ni kibaraka wa CcM.
Huyu ndo mufti bogus kupita wote hapa tz

Ukijihusisha na CCM lazima uwe mwizi tu!
 
Jiulizeni mkimtoa mufti mtamuweka nani kwenye hicho kiti ? Mnae mbadala kweli au mnadhani sheikh fulani mpenda majungu ataweza ??
....Hoja haina mashiko, yaani uache kuchukua hatua stahiki kwa muda muafaka eti kisa hofu ya kupata replacement? Kwa waislamu woote hapa nchini hakuna anayejua dini?
 
Back
Top Bottom