TISS, PSU Jifunzeni kwa walioendelea

TISS, PSU Jifunzeni kwa walioendelea

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.

Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.

Jifunzeni bana
Mmekariri sana

Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.

TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
 
Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.

Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.

Jifunzeni bana
Mmekariri sana

Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.

TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Hahahhhaaahahhh TISS hawa watoto wa vigogo!! TISS hawa wanaolinda na kushiriki kuiba kura ili CCM ibaki madarakani ama TISS hawa walioshiriki kuiba hela za EPA! Kifupi TISS hii inabidi ifumuliwe yote. Na vijana wengi wa TISS wana UKWASI wa kutisha tofauti na zamani ambapo vichaa wengi walionekana USALAMA. Mtafute Dkt. Slaa anamajibu ya TISS.
 
Yani Kimsingi hawa jamaa wa TISS nawashangaa kweli unajua kuna kipindi nawaambia naowajua huko tukiwa kijiweni wajaribu kuwa wamechangamka badala ya kuzubaa kama wameachwa na treni imagine TISS wanaojiita watu wenye siri wanashindwa tu kujua sehemu na maeneo zinapofanywa biashara za usagaji na ushoga, au wauza unga? Na wakati zinajulikana kibao hapa Dsm wao utasikia wanapambana na Upinzani. Tiss wanashindwa kufaham watu wanaohujum Taifa leo hii kama hau waliopita na hela za ununuzi wa ndege.TISS wanaoishi kwa kujionesha na kutamba kwa watu sehem za starehe licha ya kuwa hao ni Taasis nyeti?
 
Hahahhhaaahahhh TISS hawa watoto wa vigogo!! TISS hawa wanaolinda na kushiriki kuiba kura ili CCM ibaki madarakani ama TISS hawa walioshiriki kuiba hela za EPA! Kifupi TISS hii inabidi ifumuliwe yote. Na vijana wengi wa TISS wana UKWASI wa kutisha tofauti na zamani ambapo vichaa wengi walionekana USALAMA. Mtafute Dkt. Slaa anamajibu ya TISS.
Kiufupi hawa Tiss wana ukwasi wa kutisha
Una uhakika ndugu yangu ?
 
Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.

Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.

Jifunzeni bana
Mmekariri sana

Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.

TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Dunia ikienda kulia, Tz tunaenda kushoto tukitegemea kukutana Kati.
Hawa walinzi wa US wako kazini hawachek na mtu.
Sie mazoea na kutishana tu.
 
Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.

Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.

Jifunzeni bana
Mmekariri sana

Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.

TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Shida ilianzia kwenye recruitment ikaje kwenye huyu ni mwanachama mwenzetu .

Hapo wakawajaza vijana mburulamburula bad enough ni akheri wangekuwa nao wanalamba asali vilivyo cha kusikitisha wanayajua makundi ya walaji badala wajiweke karibu basi nao wale kama wameshindwa kutolea taarifa ila yamebaki kubung'aa .

Hawana jipya zaidi ya kulewa hela za safari za kikazi na kuishia kujitambulisha kila pande ya nchi .

TISS kama TEETH nawapenda ila amkeni bana , tushamiss enzi zenu , enzi za kujifanya wanafunzi vyuoni , enzi kujitia ukichaa [emoji3][emoji3]

Acheni ujinga pigeni kazi .

"Stupid , Pumbavu kabisa "Alisikika dada mmoja kwenye chumba namba 17 , akiwatukana watoto wake kwa wizi wa mboga uliopitiliza .
 
wanajua kujimwambafai na kutoa tu vitambulisho bar lakini hamna kitu, wewe mpaka mkuu wa nchi anaharibu swaumu yake kwa kutukana watu stupid na wao wapo tu maaneeneer zao , kimsingi ni kakundi kadogo cha wahuni wachache ambao wanafaidi mema ya nchi lakini hawana msaada wowote kwa nchi
 
Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.

Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.

Jifunzeni bana
Mmekariri sana

Nendeni pale Hyatt Regency muone jue hilo jue gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.

TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Yaani Mkurugenzi wa usalama wa taifa ambaye ni mtaalamu mwenye elimu ya mambo ya usalama pamoja na Mh. Rais wasilijue hilo ulijue wewe usiye na elimu mambo hayo haiwezekani.
 
wanajua kujimwambafai na kutoa tu vitambulisho bar lakini hamna kitu, wewe mpaka mkuu wa nchi anaharibu swaumu yake kwa kutukana watu stupid na wao wapo tu maaneeneer zao , kimsingi ni kakundi kadogo cha wahuni wachache ambao wanafaidi mema ya nchi lakini hawana msaada wowote kwa nchi
Stupid sio tusi Bali ni sifa japo mbaya.
 
Back
Top Bottom